Kipi Kinywaji Kizuri Kwa Afya?

Kipi Kinywaji Kizuri Kwa Afya?

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,501
Reaction score
3,342
Habari Za Jioni Wana Ukumbi
Nimeamua Nianze Kunywa Bia Hasa Bia za Nyumbani ( Local Beer ) Kutoka TBL Na SBL Ili Kujenga Uchumi Wa Nchi Na kumuunga Mkono Rais Wetu Kipenzi John Magufuli Katika Kuongeza Mapato.

Naombeni Msaada, Ni Bia Gani Nzuri Ninywe Ili Niweze Kuburudika Hasa Wakati Huu Nikiwa Likizo. Ni Bia Gani Nzuri Inayoweza Kunipa Kitambi Pia Ambayo Haina Hang Over?

Karibuni Mtiririke Wanywaji Mliotukuka.
 
Habari Za Jioni Wana Ukumbi
Nimeamua Nianze Kunywa Bia Hasa Bia za Nyumbani ( Local Beer ) Kutoka TBL Na SBL Ili Kujenga Uchumi Wa Nchi Na kumuunga Mkono Rais Wetu Kipenzi John Magufuli Katika Kuongeza Mapato.

Naombeni Msaada, Ni Bia Gani Nzuri Ninywe Ili Niweze Kuburudika Hasa Wakati Huu Nikiwa Likizo. Ni Bia Gani Nzuri Inayoweza Kunipa Kitambi Pia Ambayo Haina Hang Over?

Karibuni Mtiririke Wanywaji Mliotukuka.
 
Maziwa ndio kinywaji kizuri sana kwa afya, na kinaongeza pato la Taifa pia. Achana na pombe,sio nzuri kwa afya. Badala yake kunywa maziwa
Kuna kinywaji kinachoongeza pato la taifa zaidi ya pombe (sio magu ! ) ? Angalia hata bajeti ya mwaka huu utaona kipi kitakacho ongezeka kodi yake kati ya pombe (narudia tena sio magu ) na maziwa...
 
Kuna bia inatengenezwa kwa rimao inaitwa CLUB 07 Ni nzuri.

Kama hutaki kulewa saaana kunywa Kilimanjaro swift ina 1.5 alcohol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom