MLALUKO JR
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 962
- 309
Wanawake tuambieni maana imekuwa taaaaabu kuwaelewa mnachokpenda.Kidume ht uwe na pesa,mpole na mwenye mapenzi ya kweli pia waweza achwa.Valentina,masai dada,Lara0(1) tupeni ya moyoni
Wanawake tuambieni maana imekuwa taaaaabu kuwaelewa mnachokpenda.Kidume ht uwe na pesa,mpole na mwenye mapenzi ya kweli pia waweza achwa.Valentina,masai dada,Lara0(1) tupeni ya moyoni
Wanawake tuambieni maana imekuwa taaaaabu kuwaelewa mnachokpenda.Kidume ht uwe na pesa,mpole na mwenye mapenzi ya kweli pia waweza achwa.Valentina,masai dada,Lara0(1) tupeni ya moyoni
Upo bar gani nije kukupa kampani?
cnywi kabisaa
Wanawake tuambieni maana imekuwa taaaaabu kuwaelewa mnachokpenda.Kidume ht uwe na pesa,mpole na mwenye mapenzi ya kweli pia waweza achwa.Valentina,masai dada,Lara0(1) tupeni ya moyoni
Ndio maana...!
wao ni kama wawakilish tu,maoni yao wote ni muhimu.
Pamoja na hayo hapo juu lakini
-mpe social life
- mpe muda wa kuongea umbea
-mpe loop holes kwa baadhi ya mambo
Kishapo ukikikamata kipochi manyoya kisulubu kisawasawa uone kaa utaachwa...ukiingia huko upole peleka kureeee...ire ni vita mura
cnywi kabisaa
hukuwa na sababu ya kuquote hao watu...km unawataka kanyooshe maelezo pm, kuquote wanawake kwny mada za mapenz ni kunabadilisha mantiki ya mada...we sema unataka mmoja wapo kati yao
Tunapenda dyu.dyu zaidi...na pesa ya kubadili mboga pia uwe nayo.
Piga papuchi kana kwamba hujaiona miaka kadhaa...