Majibu kama haya...Nyani ngabu..lara 1..hevean light..ruta..mshana et al
navutiwa na mada muruaHabari zenu wadau wa JF.
Naam wakuu kama tunavyo tambua na kuelewa kuwa Forums inayo bamba na kupedwa zaidi Afrika Mashariki basi bila shaka ni Jamii Forums.
Hivyo basi kufikia hatua hiyo kuna vitu vinavutia kwa washirika wake kupitia mijadala mbalimbali, kipi kinakuvutia na unakipenda zaidi.??
Binafsi navutiwa na majibu ya Raia humu ndani, mfano mtu kaomba ushauri majibu atakayo pewa yanaenda tofauti na alicho kusudia kupokea.