True that
Nakubali hiiMi kinachonivutia ni hizi ID fake tu kwa kweli mana zinasababisha watu wanafunguka kwa uwazi kabisa mana kuna vitu vingine huwa vinaongelewa mpaka unasema daah ingekuwa majina yetu halisi sidhani kama pangetosha.
Unataka nikujibu?Mm kwenye hiyo Orodha yako sipo kwann?
Na Majibu Yenyewe Unayovutiwa Nayo ni Kama Aya.....Hahahaha.......Aigooooo!!Unataka swali?
pouwaMambo
nifate pmpouwa
napenda ukiuliza kitu kama unataka kujua basi lazima utaelekezwa kiustaarabu kuna siku niliwahi kupewa frequency za tv bureee tena tv za kulipia niliangalia kama miezi nane hivi sema wakahama but bado wanarudi na kutoka bureee niliwakubariiHabari zenu wadau wa JF.
Naam wakuu kama tunavyo tambua na kuelewa kuwa Forums inayo bamba na kupedwa zaidi Afrika Mashariki basi bila shaka ni Jamii Forums.
Hivyo basi kufikia hatua hiyo kuna vitu vinavutia kwa washirika wake kupitia mijadala mbalimbali, kipi kinakuvutia na unakipenda zaidi.??
Binafsi navutiwa na majibu ya Raia humu ndani, mfano mtu kaomba ushauri majibu atakayo pewa yanaenda tofauti na alicho kusudia kupokea.
JF ni kisima cha maarifa.
Yah Nimekuja Kumsoma Hyeong wangu....Uko Vizuri kumbe,.Daebak!Aigooooo naona umefika na huku
Hongera, Na Uache Ukorofi Lol!Aigooooo tunajarbu