Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,133
- 122,589
Kweli kabisa mkuu.Na siku ukiambiwa Fyatu ndiye huyu unashikwa butwaa....ukikumbuka siku alivyoponda umbo/muonekano wa fulani kumbe yeye mwenyewe tia maji tia maji.
Kweli kabisa mkuu.Na siku ukiambiwa Fyatu ndiye huyu unashikwa butwaa....ukikumbuka siku alivyoponda umbo/muonekano wa fulani kumbe yeye mwenyewe tia maji tia maji.
Ila saa nyingine kuna kiaibu fulani bana japokuwa watu hawakujui.Uzuri wa ID fake hata ukichangia pumba wakakushukia wala husikii noma yoyote.
Nakusalimia ivuga.
kufanyaje? Sema hapa hapanifate pm
Mekumiss pacha wa mieHongera zako pacha.![]()
![]()
![]()
Nimekumiss pia pacha. Mzima weye?Mekumiss pacha wa mie
Sijambo kabisaaa sijui wwNimekumiss pia pacha. Mzima weye?
Mie mzima wa afya pacha. Niambie baridi inasemaje au imepungua kidogo?Sijambo kabisaaa sijui ww
Pacha baridi la mwaka huu halieleweki, leo twaweza kuwa na afadhali kesho ukakutana na baridi la kufa mtuMie mzima wa afya pacha. Niambie baridi inasemaje au imepungua kidogo?
Poleni sana pacha. Sie tupo pacha tunalisukuma gurudumu la maendeleo.Pacha baridi la mwaka huu halieleweki, leo twaweza kuwa na afadhali kesho ukakutana na baridi la kufa mtu
Ahsanteeeee, uje na ww ufurahie baridiPoleni sana pacha. Sie tupo pacha tunalisukuma gurudumu la maendeleo.
Hahaaa. Ntakuja pacha usijali. Ila mwezi nitakaokuja jitahidi ulipie king'amuzi chako buana.Ahsanteeeee, uje na ww ufurahie baridi

Hahahahaha jamani, basi nitalipia mamito,ahaa nitafunga Milano cable uje uangalie mpira unajua nilikuwa na mpango wa kukigawa kile king'amuzi ngoja nikiache sababu yakoHahaaa. Ntakuja pacha usijali. Ila mwezi nitakaokuja jitahidi ulipie king'amuzi chako buana.![]()
![]()
Hahahahaha jamani, basi nitalipia mamito,ahaa nitafunga Milano cable uje uangalie mpira unajua nilikuwa na mpango wa kukigawa kile king'amuzi ngoja nikiache sababu yako
Umeonaeee. Kiache tu pacha. Mambo yote mazuri kasoro wale wanoomba picha za matukio hata pale ambapo haiwezekani!!Nyani ngabu..lara 1..hevean light..ruta..mshana et al