Kipi bora?

Kipi bora?

Kubwalijalo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2018
Posts
364
Reaction score
290
Wakati umetekwa na Wasiojulikana na ili wakuachie huru uchague moja wakufanyie kati ya haya yafuatayo:-
1) Wakutoe Nuru ya macho uwe kipofu, au
2) Wakutoe mdiso, "Jongoo asipande mtungi".
 
Wakati umetekwa na Wasiojulikana na ili wakuachie huru uchague moja wakufanyie kati ya haya yafuatayo:-
1) Wakutoe Nuru ya macho uwe kipofu, au
2) Wakutoe mdiso, "Jongoo asipande mtungi".
Bora wanitoe macho maana hata mademu zangu wenye sura mbaya hua nakula mzigo huku nimefumba macho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom