Kipenda roho..???

Kipenda roho..???

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,141
Reaction score
950
Is Love all about blindness or something else?..

Why do hot Women Love ugly Men..or

Rich, famous or extremely good looking men getting average or below average women ?

3.jpg



2.jpg


ecclesDM2001_228x443.jpg





sachaDM2001_228x517.jpg

rich1.jpg

zetajones_douglas.jpg


dannysatcn0.jpg


Picture-3.jpg



attachment.php


[ame="http://www.youtube.com/watch?v=YMeUvSJuivQ&feature=player_embedded"]YouTube- mireasa anului 2007 ALEXANDRIA[/ame]
 
hayo ndp mapenzii,

niliwah kiutana na dada mmoja aksema wanaume ma handsome sio sio makini na hawawezi kusimamia mambo mengi ya kifamilia
 
hayo ndp mapenzii,

niliwah kiutana na dada mmoja aksema wanaume ma handsome sio sio makini na hawawezi kusimamia mambo mengi ya kifamilia
Huh!
Hii ni kali! Lakini nadhani ni generalisation , si wote wako hivyo!
 
Ngoshwe , hakika kipenda roho ....hula nyama mbichi, mapenzi bana, hayaangalii umri,sur a wala umbo.
 
attachment.php


Hii inaogopesha wakulu
<!-- google_ad_section_end --><!-- / message -->
 
Ahh we mwanaume ukiwa na vijisent mbona unajichagulia tu!!!
 
Is Love all about blindness or something else?..

Why do hot Women Love ugly Men..or

Rich, famous or extremely good looking men getting average or below average women ?






ecclesDM2001_228x443.jpg





sachaDM2001_228x517.jpg


zetajones_douglas.jpg
Mbona kwenye hizi sioni cha kushangaza? Huyu Michael Douglas alikuwa Sexiest Man Alive mwaka mmoja kama sikosei.
 
LOVE IS MONEY====if you have money you can be loved...no doubt about it.
 
Ndoa sio u-handsome na u-beauty tu kuna vitu vingi mtu huwa anaangalia.

Kwanza mwanamme akiwa handsome huwa anaringa sana kwa sababu vibibi vya nje huwa vinamfuatilia sana.

Na mwanamke akiwa mzuri sana pia ni kasheshe kwa mume wake maana huringa na kujiona kuwa anapendwa na wanaume wengi.

Kwa wote wa aina hii wivu na kutoaminiana huvuruga amani nyumbani
 
Ndoa sio u-handsome na u-beauty tu kuna vitu vingi mtu huwa anaangalia.

Kwanza mwanamme akiwa handsome huwa anaringa sana kwa sababu vibibi vya nje huwa vinamfuatilia sana.

Na mwanamke akiwa mzuri sana pia ni kasheshe kwa mume wake maana huringa na kujiona kuwa anapendwa na wanaume wengi.

Kwa wote wa aina hii wivu na kutoaminiana huvuruga amani nyumbani

ushauri wako Bitimkongwe?
Ukiwa Mbaya uoe/uolewe na mzuri
Ukiwa mzuri/uoe /olewe na mzuri?
50/50%
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom