Kipanya: Tazameni alichokuja nacho leo

Kipanya: Tazameni alichokuja nacho leo

Ukweli ni kwamba bila kuwa raisi wa kurithi Samia hata siku moja asingechaguliwa kuwa raisi wa Tanzania. Pamoja na kuwa ni raisi inabidi atumie nguvu kubwa sana na fedha nyingi kuendelea kuwa raisi, kuliko maraisi wote waliowahi kugombea awamu ya pili wakiwa madarakani. Kwa hiyo anatambua kwamba Watanzania wasiomtaka aendelee kuwa raisi wapo wengi tu.
 
...kazi iendeleee.
...na iendeleee kweli kweli

....kipanya anatambua wingu la Wananchi wanyonge.

...ni kwamba, bila ya kumhusisha simba mwenye sharubu, R.I.P, ikulu, yawezekana pakawa pagumu kufika-

=======**=======™
CHADEMA sio kigingi!
 
Ukweli ni kwamba bila kuwa raisi wa kurithi Samia hata siku moja asingechaguliwa kuwa raisi wa Tanzania. Pamoja na kuwa ni raisi inabidi atumie nguvu kubwa sana na fedha nyingi kuendelea kuwa raisi, kuliko maraisi wote waliowahi kugombea awamu ya pili wakiwa madarakani. Kwa hiyo anatambua kwamba Watanzania wasiomtaka aendelee kuwa raisi wapo wengi tu.
A synthetic truth.😉

💐💐
 
Back
Top Bottom