Kipanya: Tazameni alichokuja nacho leo

Kipanya: Tazameni alichokuja nacho leo

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
42,451
Reaction score
50,183
1743744325282.png
 
KP kama KP ngoja atekwe tena 😀
 
Hizo ni gravestones (makaburi) akimaanisha anaelekea ikulu kwa kumwaga damu ya watu...au tafsiri nyingine ataingia ikulu..lkn damu itamwagika....ngoja tuone
Mkuu ulishawahi kuona wapi grave stones yenye ncha? Hapo sio kabisa.
 
#Naona CCM kushika Nchi tena 2025-2030
#Naona Baadhi ya Wakeleketwa wa CCM kugonga Nyundo Usukani wa Gari Lao
#Naona Raisi mwingine na Siyo SSH.
#Naona Chadema Kulegeza Kamba za SSH.
 
Bora Punda afe lakini mzigo Ufike!
Safari ya Kubaki Chamwino!
 
Back
Top Bottom