Pale Obama anafunguka na kusema kuwa Mandela alim inspire kuwa hivi tunavyomuona sasa,then kipanya akasema ni vema sifa za mtu apewe akiwa hai,sio akifa
picha ya pili,rangi ya shati inawakilisha chama fulani hapa TZ ambacho kinaona chenyewe ndio kinastahili kile kiti pekee.