happyxxx
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 568
- 1,847
Lars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.
Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.
Sukuma gang = Wasukuma
Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.
Sukuma gang = Wasukuma