Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 59,143
- 69,614
Anawakwaza Wakubwa Hapati, Aanze Jirekebishe HarakaKipanya anatafuta uteuzi!
Vyeo Vipo Vingi
Anawakwaza Wakubwa Hapati, Aanze Jirekebishe HarakaKipanya anatafuta uteuzi!
Hata acha uchoraji. Jamaa toka zamani serikali zote amekuwa akifanya hivyo.Sijui kama wamekuelewa.
Na ukiangalia kwa upande mwingine, teuzi za wanahabari serikalini ndio hasa hiyo picha inachoonesha. Kunyamazishwa!Kipanya anatafuta uteuzi!
Kumteua mtu aliekuzidi maarifa, ni kujiaibishaKipanya anatafuta uteuzi!
Joka kuu ni mamlaka zinazoiba wanahabari kwa kuwapa vyeo. Na katika hili kipanya anaonyesha ni kwa jinsi gani vyeo vinapoteza ujasir wa wanahabari kufanya kazi zao..kwa ufupi wanahabari wtafanya kazi kwa madhumuni ya kupata vyeo .na si kuwapa Habari wananchi Na wanahabari watasifu mamlaka tu ili vyeo wapate..
Dunia hadaa ulimwengu shujaa
Njaa zao tu pumbavu. Wao ndio wanaonyesha elements za kutaka kuingia huko. Na si kwamba serikali inawawekea mtutu kichwaniJoka kuu ni mamlaka zinazoiba wanahabari kwa kuwapa vyeo. Na katika hili kipanya anaonyesha ni kwa jinsi gani vyeo vinapoteza ujasir wa wanahabari kufanya kazi zao..kwa ufupi wanahabari wtafanya kazi kwa madhumuni ya kupata vyeo .na si kuwapa Habari wananchi Na wanahabari watasifu mamlaka tu ili vyeo wapate..
Dunia hadaa ulimwengu shujaa
Hii bonge la ndongaKumteua mtu aliekuzidi maarifa, ni kujiaibisha
Hilo joka linatoka pori la Chato burigiMsanii maarufu wa katuni ajulikanaye kama Kipanya leo hii ametuletea kisa cha hatima ya wana habari na vyombo vyake.
Je, huyo nyoka anawakilisha nini au ni nani?
View attachment 1499717
Cheyamani wa Mazezeta