Kipanya hajapewa ukoo wa wilaya!??
alafu mwambie mleta mada abadilishe title aandike Dr. Kipanya (PhD)Kipanya hajapewa ukoo wa wilaya!??
Amepewa Ukoowa Wilaya asiye na wilaya maalumu.Kipanya hajapewa ukoo wa wilaya!??
...Mkuu wa kaya wanaosema ukweli anawakwepa. Hata mjomba Mpoto alimpiga kijembe kuwa jamaa sio msanii bali ana mambo yake tu...Mkuu huyu beleshi analiita beleshi na sio kijiko kikubwa kwa hiyo kwa ccm hawezi kupewa uongozi kwa kusema ukweli !
alafu mwambie mleta mada abadilishe title aandike Dr. Kipanya (PhD)