Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Kuna kingine kizuri kakufanyia vizuri ndio maana misuri inakukakamaa watu wanapokupinga? Usikute kaku-Zantel "twanga kotekote" (make unavyomsifia sio bure!)
Hahaaaaahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa, kipanya wanfurahiiiisha!
kule arusha wamefikia wapi ? Hilo suali wanatakiwa walijibu, na baada ya tarime wapi wajiandae na mauaji?
mbona chadema hili mnalo, mwaka huu mtachimba makaburi kila kona.
lkn mkishazika na kupata umaaurufu mnawasahau. kule Arusha mapambano yalikuwa Meya sasa jee mmefikia wapi ? watu walikufa na mlizika, jee mlifikia wapi ?
subirini na kwengine mchochee vurugu halafu muwasahau kama mtavyowasahau wana Tarime si muda mrefu
acha waje na matusi yao.....watatukana hadi watachoka lkn penye ukweli sitokaa kimya. Si uongo maana Chadema wanatumia majanga ili kupata sympathy toka kwa wananchi, hili halina uongo. Kama kuna mtu anaona huu si ukweli, basi aseme huo ukweli wake
are u sure dat wat u say z true?dnt judge coz da judgement that u set 4 s1 z the one which will be set 4 u....tuache kubishania cdm au ccm,hivyo vyama havta2peleka popote....zaid ya ku-creat chuki na uhasama btn ppo..:majani7:acha waje na matusi yao.....watatukana hadi watachoka lkn penye ukweli sitokaa kimya. Si uongo maana Chadema wanatumia majanga ili kupata sympathy toka kwa wananchi, hili halina uongo. Kama kuna mtu anaona huu si ukweli, basi aseme huo ukweli wake