Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,755
Makaburi magumu sana...pia mfukuaji hataki hata kulikanyaga anachimbuwa huku anaruka
TrueUfukuaji makaburi haujawahi kumuacha mtu salama.
Umeiliza na kujijibu hapo hapo- ndio kazi ya sanaa, unakuwa na mixed feelings na answers.Mbona vazi alilovaa sio kwa kazi hiyo?
Au ndio kwamba hajajipanga?