KIPANYA ANAWEZA TUMUELEWE

Msanii wa katuni maarufu kama Kipanya kwa sasa ameamua kuwakilisha kilo cha watanzania kwa watawala bila kuogopa wala kupepesa ebu tazameni hicho kibonzo kwa mwenye akili ataelewa
fe2a894650a49856779a72735e848804.jpg

Sijaelewa unataka kumaanisha nini kwamba nyumba zinabomolewa bila tija au vipi. Kwamba wanaobomolewa wanaonewa au. Hoja yako ni ya kitoto. Kipanya kafanya yake. Lakini wewe kumleta hapa kama hoja ndo nakuona mpumbavu sana. Afu Watu kama nyie bado hamkuwi tu. Kesho kipanya akichora nyingine mtasema kibaraka. Heri mkacheze taarabu tu huko Mombasa. Mana mtu anayefanana na Chura hajulikani lini kasimama lini kachuchumaa ni "NOTHING"
 
Sijaelewa unataka kumaanisha nini kwamba nyumba zinabomolewa bila tija au vipi. Kwamba wanaobomolewa wanaonewa au. Hoja yako ni ya kitoto. Kipanya kafanya yake. Lakini wewe kumleta hapa kama hoja ndo nakuona mpumbavu sana. Afu Watu kama nyie bado hamkuwi tu. Kesho kipanya akichora nyingine mtasema kibaraka. Heri mkacheze taarabu tu huko Mombasa. Mana mtu anayefanana na Chura hajulikani lini kasimama lini kachuchumaa ni "NOTHING"
Huu ugoro wako kadanganye watu wenye mtindio wa ubongo wenzako nyani kikongwe wewe
 
kipanya kaongea uhalisia wewe umeingiza siasa, wallah nchi hii kama ni maendeleo bado mbali sana labda kifyeke hiki kizazi cha sasa kianze kipya
Umesema kweli kabisa hiki kizazi ndio mtaji mkubwa sana wa makinikia
 
Kipanya 2015 wadanganye wazungusha mikono sio great thinkers
Great thinker gani usiejua aina ya ufikishaji huo mwaka unaoelezea ni moja ya aina tu ya ukwepaji mikono ya watawala au wataojihisi na kwa msanii haiwi tija kwa hadhira yake anayoifikishia Ujumbe.
Tungeonekana wa ajabu tungesema picha haina ujumbe eti kwa kuwa tarehe iliyoandika haipo ktk kalenda yyte ila hilo kwake sio lengo, dhamira ni hyo katuni ndo ifanyiwe kazi ktk mind zetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom