Mimi ni tha one nilie kosa MKOPO mwaka huu.but wazaz wameamua kunilipia but wanauwezo wakulipa ADA only.mambo mengine amesema hawawez.je kip mhimu ambacho inatakiwa nikalipe ili Nisifukuzwe?nimepangiwa ARDHI (b of arts in economics)
Mimi ni tha one nilie kosa MKOPO mwaka huu.but wazaz wameamua kunilipia but wanauwezo wakulipa ADA only.mambo mengine amesema hawawez.je kip mhimu ambacho inatakiwa nikalipe ili Nisifukuzwe?nimepangiwa ARDHI (b of arts in economics)
hapo unatakiwa uungalie mbele zaidi nakujiuliza je watamudu kugharimikia gharama za hapo baadae? naisije ikawa kwa mwaka wakwanza 2 halafu miaka mingine ikawa soo tena! au wewe unaonaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.