OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,242
- 103,943
Makamu wa Rais Yanga, Arafat Haji ametamba wana kikosi kizuri ambacho kinaweza kushindana na timu kubwa katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwamba katika mchezo dhidi ya Al Ahly wapo tayari kupambana nao na kuhakikisha wanapata matokeo nyumbani na ugenini.
My Take
Kupata hivi vichekesho vya Utopolo unabonyeza ngapi-ngapi? 🤣🤣🤣🤣
My Take
Kupata hivi vichekesho vya Utopolo unabonyeza ngapi-ngapi? 🤣🤣🤣🤣