Sabayi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 2,310
- 991
Nimekuwa nikiona kiongozi wa mbio za mwenge akitoa amri na maagizo mbali mbali kwa baadhi ya viongozi katika maeneo anayokimbiza Mwenge,Naomba kuelimishwa huyu kiongozi wa Mbio za Mwenge ana nafasi gani katika katiba yetu? Je wanaopewa hizo amri na maagizo wakikataa kutii wanaweza kuwajibishwa?