Kiongozi wa Hamas hakamatwi kama kuku

Kiongozi wa Hamas hakamatwi kama kuku

Wengine walifia nchini Palestina, hajakamatwa kama viongozi wa dini nyengine
Hivi uislam ndiyo unamfanya mtu anakuwa mjinga au ujinga anazaliwa nao?

Yaani wewe akili yako inakutuma Maduro amekamatwa kirahisi kwa sababu siyo muislam na kwamba angekuwa muislam asingekamatwa kiwepesi?zinakutosha kweli wewe?
 
Ukiwa muislamu ni lazima kichwani kuwe na maji badala ya ubongo.
Viongozi wangapi wa magaidi wamenyooshwa?

Hata Maduro nae alikuwa anajitapa ila akanyooshwa, ingia Instagram ya white house ya USA utaona wamepost akijitapa wakaunganisha na speech ya Trump baada ya kumkamata
 
Nchi ya kiislam hawezi kiongozi wake kukamatwa kama kuku kama vile Maduro.
Ni kweli kabisa maana yule SinWali yeye alidakwa kama Panyabuku same kwa yule Bi Nasrah wa Hizbollah yeye alizamishwa 20Ft underground pale Lebanon maana alishazoea kukaa mashimoni
 
Hivi uislam ndiyo unamfanya mtu anakuwa mjinga au ujinga anazaliwa nao?

Yaani wewe akili yako inakutuma Maduro amekamatwa kirahisi kwa sababu siyo muislam na kwamba angekuwa muislam asingekamatwa kiwepesi?zinakutosha kweli wewe?
Mbona nilisha towaga fafanuzi juu ya ili swali lako kuwa
1)KWENYE DINI YA UISLAMU, UISLAMU NDIYO UNAO WAHALIBU WAISLAMU.
2)KWENYE DINI YA UKRISTO, WAKRISTO NDIYO WANAO UHALIBU UKRISTO.
 
Back
Top Bottom