Kiongozi wa Hamas hakamatwi kama kuku

Kiongozi wa Hamas hakamatwi kama kuku

Lengo sio kukamatwa tu , lengo ni kuwaondoa miongoni mwa hayo huwa linatekelezwa mojawapo 😂😂

Ni either akamatwe , au awaishwe kwa mola wake ! Watakutafuta hata miaka 30 ila kuna siku watakuondoa
 
Lengo sio kukamatwa tu , lengo ni kuwaondoa miongoni mwa hayo huwa linatekelezwa mojawapo 😂😂

Ni either akamatwe , au awaishwe kwa mola wake ! Watakutafuta hata miaka 30 ila kuna siku watakuondoa
Hata wauaji na watakufa. Swala hapa Rais kukamatwa ktk nchi yao ni usaliti mkubwa, viongozi wa kiislam mambo hayo hawana
 
Nchi ya kiislam hawezi kiongozi wake kukamatwa kama kuku kama vile Maduro.
Ila anakufa kama kuku tu. Kumbuka kilichowapata Yahya Sinwar, Hassan Nasralla, Ismail Haniyeh na wale makamanda sita wa Jeshi la IRAN
 
Osama umeona picha yake kama Maduro?
Hao magaidi wa kobazi ni wepesi mno.
Marekani amewashika makalio kadri anavyojisikia
Al Qaeda imekufa
Boko Haram imekufa
Al shababu imekufa
Kobazi wa hapo Msumbiji wamepigwa na Kagame
Kama waliwabanika wababe na wenye akili nyingi kama Osama, Saddam Hussein, Jihad John na Gadafi
Washindwe hao vibaka na mashoga mavaa kobazi
 
Hao magaidi wa kobazi ni wepesi mno.
Marekani amewashika makalio kadri anavyojisikia
Al Qaeda imekufa
Boko Haram imekufa
Al shababu imekufa
Kobazi wa hapo Msumbiji wamepigwa na Kagame
Kama waliwabanika wababe na wenye akili nyingi kama Osama, Saddam Hussein, Jihad John na Gadafi
Washindwe hao vibaka na mashoga mavaa kobazi
Huwajui waislam wewe, unadhani akina Maduro?
 
Nchi ya kiislam hawezi kiongozi wake kukamatwa kama kuku kama vile Maduro.
Viongozi wa kiislam kina nani hao?

Subiria atakaponyakuliwa Ayatollah sijui utasemaje.

Sadam Hussein alichomolewa kwenye shimo kama panya.
images.jpeg
images (1) (1).jpeg


Na mwishowe wakamnyonga
images (1) (2).jpeg


Heri ya Maduro alivyokamatwa kuliko Sadam Hussein
 
Back
Top Bottom