Kiongozi mwandamizi wa Redcross ako nchi jirani yule Askofu atumia zoom

Kiongozi mwandamizi wa Redcross ako nchi jirani yule Askofu atumia zoom

October 2pm

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2023
Posts
1,124
Reaction score
1,983
Bado haijulikani kitajadiliwa kitu gani lakini najuzwa ni hayahaya ya kuzamisha majini manuwari ya mtandao. Najuzwa kabla ya 912 kuna tukio la ajabu la kimafia linasukwa sijui kwa kweli. Jambo moja Redcross wanajiamini nalo ni kutotambulika. Hawajulikani ni kina nani. Wengi wao hawafuatiliwi mana wanapoteza maboya dola. Nye Nye Nye! Mnyetishaji anijuza kuwa wataendelea kukamata wasiohusika lakini kikosi kazi cha redcross kitabaki salama. Mnyetishaji anijuza sapoti ya silaha kuingia Tz ni moja ya agenda huku baadhi ya Makomando maalum kuingia nchi kwaajili ya kuzidisha kidonda siku D9. Chikwete anaadui wa zamani wakati akiwa Rais ambaye amemsahau ambaye naye anaomba usajili Huko redcross. Bado hajakubaliwa. Redcross wamebakiza solo tatu kufunga mwaka huu lakini target Yao najuzwa ni mwakani. Na bado.
 
Kauli ambayo hadi leo haitoki akilini mwangu ni ike ya kusema kuna wakimbizi nchini ambao wapo kwenye nafasi za kufanya maamuzi makubwa serikalini. Sikumbuki nani aliiongea hii kauli.
 
Bado haijulikani kitajadiliwa kitu gani lakini najuzwa ni hayahaya ya kuzamisha majini manuwari ya mtandao. Najuzwa kabla ya 912 kuna tukio la ajabu la kimafia linasukwa sijui kwa kweli. Jambo moja Redcross wanajiamini nalo ni kutotambulika. Hawajulikani ni kina nani. Wengi wao hawafuatiliwi mana wanapoteza maboya dola. Nye Nye Nye! Mnyetishaji anijuza kuwa wataendelea kukamata wasiohusika lakini kikosi kazi cha redcross kitabaki salama. Mnyetishaji anijuza sapoti ya silaha kuingia Tz ni moja ya agenda huku baadhi ya Makomando maalum kuingia nchi kwaajili ya kuzidisha kidonda siku D9. Chikwete anaadui wa zamani wakati akiwa Rais ambaye amemsahau ambaye naye anaomba usajili Huko redcross. Bado hajakubaliwa. Redcross wamebakiza solo tatu kufunga mwaka huu lakini target Yao najuzwa ni mwakani. Na bado.
Kama sijaelewa ngoja nisome tena.
 
Kauli ambayo hadi leo haitoki akilini mwangu ni ike ya kusema kuna wakimbizi nchini ambao wapo kwenye nafasi za kufanya maamuzi makubwa serikalini. Sikumbuki nani aliiongea hii kauli.

Mkuu wa jeshi
 
Back
Top Bottom