kiongozi bora anaoneka wazi kwa matendo yake katika jamii (nyerere & Kkiwete)

VIKWAZO

JF-Expert Member
Apr 9, 2011
1,899
580
228610_145027525569402_100001864677275_296159_3011228_n.jpg

[FONT=Verdana, sans-serif]Nyerere alipokuwa kazini ni kazini yaani anapiga kazi kama mzalendo na mwenye uchu wa kuleta mabadiliko , Kikwete yeye ni mtanashati zaidi siwezi kumuita sharobaro maana yeye ni raisi lakini [/FONT]
[FONT=Verdana, sans-serif] hana mwongozo kwa mkulima,[/FONT]
[FONT=Verdana, sans-serif] unamfundisha nini mkulima kama kiongozi unaenda kupanda mti mpaka uwekewe shuka chini?[/FONT]
[FONT=Verdana, sans-serif]kwa kini hakuvaa mavazi ya kazi kama alijua anataka kutoa mfano wa kupamba miti?[/FONT]
[FONT=Verdana, sans-serif] mambo kama haya ni matokeo ya starehe wanazofanya viongozi wetu na kusahau kwamba nchi ina dhiki[/FONT]
[FONT=Verdana, sans-serif] hii ni sawa na kutuambia wananchi nitachafuka man[/FONT]
 
Ngoja tusikie watetezi maana wako wengi humu...

View attachment 32608

Nyerere alipokuwa kazini ni kazini yaani anapiga kazi kama mzalendo na mwenye uchu wa kuleta mabadiliko , Kikwete yeye ni mtanashati zaidi siwezi kumuita sharobaro maana yeye ni raisi lakini
hana mwongozo kwa mkulima,
unamfundisha nini mkulima kama kiongozi unaenda kupanda mti mpaka uwekewe shuka chini?
kwa kini hakuvaa mavazi ya kazi kama alijua anataka kutoa mfano wa kupamba miti?
mambo kama haya ni matokeo ya starehe wanazofanya viongozi wetu na kusahau kwamba nchi ina dhiki
hii ni sawa na kutuambia wananchi nitachafuka man
 
Back
Top Bottom