Kiongozi anaponunua helcopter 13 za kumlinda yeye binafsi, lakini anakwazwa na mageuzi Jeshi la Zimamoto

Nimegundua hamtumii akiri zenu ila kuna kitu nyuma yenu kinawasukuma kwa nguvu, kila siku mnasema humu zimenunuliwa ndege hapa eti pesa ingepelekwa afya mara zipelekwe kwenye alimu, na bado hizo ndege zinazalisha pesa ikapelekwe kwenye hiyo afya lakini bado mnapinga, sasa drone ambazo zitakaa na huenda isitumike kwa mwaka mzima maana moto isipotokea haina kazi, hiyo pesa yote iende hapo, je kwe afya utapeleka nni au matatizo ya elimu pia yameisha? Kumbuka jana ukisema nni na leo unasema nni. Msituvuruge.
Ile chato airport ina tija gani kwani,inaingiza bei gani?
 
Umeandika kiushabiki mno kiongozi ! Swali kubwa hapa"alifuata taratibu zote za kisheria?"
Hoja ya baadhi ya watu kwamba
mshikaji alimfukuza kazi Thobias Andengenye baada ya kumwacha kwenye "mgao wa dili" yaweza kuwa na mantiki.

Vinginevyo haingii akilini Kiongozi anashindwaje kuona umuhimu wa kulifanyia mageuzi Jeshi la Zimamoto ambalo liko hoi bin taabani, lakini yeye peke yake akajinunulia mahelcopter ya gharama kwa ajili ya kujilinda??

Afande Andengenye alikusudia kulifanya Jeshi la Zimamoto kuwa RESPONSIVE enough kwenye matukio ya kuzima moto; Kwamba kwa kununua vifaa vya kisasa vya kuzima moto kama vile DRONES, basi tatizo la kuchelewa kufika kwenye ajali za moto lingekuwa limepatiwa ufumbuzi, pasingekuwa na zile lawama tena za Zimamoto kufika kwenye nyumba iliyoungua masaa mawili baada ya nyumba kuteketea kwa moto.

Basi ndugu yetu alivyo na roho mbaya hasa kwenye kazi zisizomfaidisha yeye binafsi, au kampuni zake, au masuria wake akafura kwa hasira, kwamba inakuwaje dili ya Trillion 1 imwache yeye pembeni completely?

So tunafahamu miji yetu ilivyopangiliwa vibaya, kuna mitaa haiingiliki kwa gari ya Zimamoto, sasa kuna ubaya gani kuleta teknolojia mpya ya drones, kwa sababu dunia nzima inaelekea huko??

Kiongozi anakuwa mbinafsi hadi inakera, tusishangae zikanunuliwa DRONES za kusindikiza msafara wake, au za kupelekwa Chato, baada ya kumgombeza Andengenye kwa kununua za Zimamoto ambazo zingetufaidsha Watanzania wote.

Kila kitu CHATO, huduma zinazogusa jamii pana hana habari nazo...haya sasa umemfukuza Andengenye, mkataba umeuvunja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bajeti ya nchi nzima inacheza kati ya Trioni 30-40 tena na zenyewe hewa lkn realistic huwa ni T15-20.

Nchi hii ina idara na Taasisi za serikali karibia 300 sasa kama kila idara na Taasisi itakuwa na Uhuru wa kukopa na kufanya expenditure ya Trioni moja hapo tutafika kweli?

Magu hajaponda mpango huo lkn alichosema ni kwamba pesa hiyo niwe nyingi kufanyiwa maamuzi na idara tu pamoja na waziri kimya kimya ilitakiwa mpango uingizwe baraza la mawaziri ili uwekwe kwenye bajeti

Sent using Jamii Forums mobile app
Jiwe kafanya mangapi bila kufata budget?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja ya baadhi ya watu kwamba
mshikaji alimfukuza kazi Thobias Andengenye baada ya kumwacha kwenye "mgao wa dili" yaweza kuwa na mantiki.

Vinginevyo haingii akilini Kiongozi anashindwaje kuona umuhimu wa kulifanyia mageuzi Jeshi la Zimamoto ambalo liko hoi bin taabani, lakini yeye peke yake akajinunulia mahelcopter ya gharama kwa ajili ya kujilinda??

Afande Andengenye alikusudia kulifanya Jeshi la Zimamoto kuwa RESPONSIVE enough kwenye matukio ya kuzima moto; Kwamba kwa kununua vifaa vya kisasa vya kuzima moto kama vile DRONES, basi tatizo la kuchelewa kufika kwenye ajali za moto lingekuwa limepatiwa ufumbuzi, pasingekuwa na zile lawama tena za Zimamoto kufika kwenye nyumba iliyoungua masaa mawili baada ya nyumba kuteketea kwa moto.

Basi ndugu yetu alivyo na roho mbaya hasa kwenye kazi zisizomfaidisha yeye binafsi, au kampuni zake, au masuria wake akafura kwa hasira, kwamba inakuwaje dili ya Trillion 1 imwache yeye pembeni completely?

So tunafahamu miji yetu ilivyopangiliwa vibaya, kuna mitaa haiingiliki kwa gari ya Zimamoto, sasa kuna ubaya gani kuleta teknolojia mpya ya drones, kwa sababu dunia nzima inaelekea huko??

Kiongozi anakuwa mbinafsi hadi inakera, tusishangae zikanunuliwa DRONES za kusindikiza msafara wake, au za kupelekwa Chato, baada ya kumgombeza Andengenye kwa kununua za Zimamoto ambazo zingetufaidsha Watanzania wote.

Kila kitu CHATO, huduma zinazogusa jamii pana hana habari nazo...haya sasa umemfukuza Andengenye, mkataba umeuvunja?



US, Canada, Australia kila siku moto mikubwa tena ya misitu, inawasumbua wana drones kibaoooo tena wanatengeneza, ww ndio unaweza kutumia hizo drones kuliko wao manufacturers.? Question yourself, drones unaweza kuzi maintain? Unajua gharama za kuzimaintain in a long run? Wenzako hao wanaokuuzia Romania bado hawatumii kuzimia moto kwao, ww utakuwa na ukungu na ukurutu wa akili. Stop being tahira. Acha ujinga. Hivi unaijua € 400+ mil ikoje? Ww una tatizo
 
Hoja ya baadhi ya watu kwamba
mshikaji alimfukuza kazi Thobias Andengenye baada ya kumwacha kwenye "mgao wa dili" yaweza kuwa na mantiki.

Vinginevyo haingii akilini Kiongozi anashindwaje kuona umuhimu wa kulifanyia mageuzi Jeshi la Zimamoto ambalo liko hoi bin taabani, lakini yeye peke yake akajinunulia mahelcopter ya gharama kwa ajili ya kujilinda??

Afande Andengenye alikusudia kulifanya Jeshi la Zimamoto kuwa RESPONSIVE enough kwenye matukio ya kuzima moto; Kwamba kwa kununua vifaa vya kisasa vya kuzima moto kama vile DRONES, basi tatizo la kuchelewa kufika kwenye ajali za moto lingekuwa limepatiwa ufumbuzi, pasingekuwa na zile lawama tena za Zimamoto kufika kwenye nyumba iliyoungua masaa mawili baada ya nyumba kuteketea kwa moto.

Basi ndugu yetu alivyo na roho mbaya hasa kwenye kazi zisizomfaidisha yeye binafsi, au kampuni zake, au masuria wake akafura kwa hasira, kwamba inakuwaje dili ya Trillion 1 imwache yeye pembeni completely?

So tunafahamu miji yetu ilivyopangiliwa vibaya, kuna mitaa haiingiliki kwa gari ya Zimamoto, sasa kuna ubaya gani kuleta teknolojia mpya ya drones, kwa sababu dunia nzima inaelekea huko??

Kiongozi anakuwa mbinafsi hadi inakera, tusishangae zikanunuliwa DRONES za kusindikiza msafara wake, au za kupelekwa Chato, baada ya kumgombeza Andengenye kwa kununua za Zimamoto ambazo zingetufaidsha Watanzania wote.

Kila kitu CHATO, huduma zinazogusa jamii pana hana habari nazo...haya sasa umemfukuza Andengenye, mkataba umeuvunja?
Yan ww hufikirii kabisa yan rais anyimwe dili wakati hazina hote anayo pesa za mafisadi zote alikua Nazi acha u zezeta ww rais anavyanzo vingi sana vya pesa huo uloleta hapa ni uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimegundua hamtumii akiri zenu ila kuna kitu nyuma yenu kinawasukuma kwa nguvu, kila siku mnasema humu zimenunuliwa ndege hapa eti pesa ingepelekwa afya mara zipelekwe kwenye alimu, na bado hizo ndege zinazalisha pesa ikapelekwe kwenye hiyo afya lakini bado mnapinga, sasa drone ambazo zitakaa na huenda isitumike kwa mwaka mzima maana moto isipotokea haina kazi, hiyo pesa yote iende hapo, je kwe afya utapeleka nni au matatizo ya elimu pia yameisha? Kumbuka jana ukisema nni na leo unasema nni. Msituvuruge.
Mkuu hawa wamekwisha habari yao. Sasa hivi hawa jamaa wanajenga " Hoja ndebwedo". Ni vituko juu ya vituko kama vya mleta mada.
 
Hoja ya baadhi ya watu kwamba
mshikaji alimfukuza kazi Thobias Andengenye baada ya kumwacha kwenye "mgao wa dili" yaweza kuwa na mantiki.

Vinginevyo haingii akilini Kiongozi anashindwaje kuona umuhimu wa kulifanyia mageuzi Jeshi la Zimamoto ambalo liko hoi bin taabani, lakini yeye peke yake akajinunulia mahelcopter ya gharama kwa ajili ya kujilinda??

Afande Andengenye alikusudia kulifanya Jeshi la Zimamoto kuwa RESPONSIVE enough kwenye matukio ya kuzima moto; Kwamba kwa kununua vifaa vya kisasa vya kuzima moto kama vile DRONES, basi tatizo la kuchelewa kufika kwenye ajali za moto lingekuwa limepatiwa ufumbuzi, pasingekuwa na zile lawama tena za Zimamoto kufika kwenye nyumba iliyoungua masaa mawili baada ya nyumba kuteketea kwa moto.

Basi ndugu yetu alivyo na roho mbaya hasa kwenye kazi zisizomfaidisha yeye binafsi, au kampuni zake, au masuria wake akafura kwa hasira, kwamba inakuwaje dili ya Trillion 1 imwache yeye pembeni completely?

So tunafahamu miji yetu ilivyopangiliwa vibaya, kuna mitaa haiingiliki kwa gari ya Zimamoto, sasa kuna ubaya gani kuleta teknolojia mpya ya drones, kwa sababu dunia nzima inaelekea huko??

Kiongozi anakuwa mbinafsi hadi inakera, tusishangae zikanunuliwa DRONES za kusindikiza msafara wake, au za kupelekwa Chato, baada ya kumgombeza Andengenye kwa kununua za Zimamoto ambazo zingetufaidsha Watanzania wote.

Kila kitu CHATO, huduma zinazogusa jamii pana hana habari nazo...haya sasa umemfukuza Andengenye, mkataba umeuvunja?
Drone drone izime moto inabeba Lita ngap za maj au unaiongelea ushabik

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila taasisi ingekua inamuua kufanya manunuzi tena yanayohusisha fedha nyingi kama walizoingia makubaliano kina Andengenye basi ingekua balaa, upigaji ungekua wa kutisha sana. Ndio maana kuna sheria za manunuzi na pia kama ni mkopo wa nje lazima Wizara ya Fedha iwe na taarifa.
 
Hoja ya baadhi ya watu kwamba
mshikaji alimfukuza kazi Thobias Andengenye baada ya kumwacha kwenye "mgao wa dili" yaweza kuwa na mantiki.

Vinginevyo haingii akilini Kiongozi anashindwaje kuona umuhimu wa kulifanyia mageuzi Jeshi la Zimamoto ambalo liko hoi bin taabani, lakini yeye peke yake akajinunulia mahelcopter ya gharama kwa ajili ya kujilinda??

Afande Andengenye alikusudia kulifanya Jeshi la Zimamoto kuwa RESPONSIVE enough kwenye matukio ya kuzima moto; Kwamba kwa kununua vifaa vya kisasa vya kuzima moto kama vile DRONES, basi tatizo la kuchelewa kufika kwenye ajali za moto lingekuwa limepatiwa ufumbuzi, pasingekuwa na zile lawama tena za Zimamoto kufika kwenye nyumba iliyoungua masaa mawili baada ya nyumba kuteketea kwa moto.

Basi ndugu yetu alivyo na roho mbaya hasa kwenye kazi zisizomfaidisha yeye binafsi, au kampuni zake, au masuria wake akafura kwa hasira, kwamba inakuwaje dili ya Trillion 1 imwache yeye pembeni completely?

So tunafahamu miji yetu ilivyopangiliwa vibaya, kuna mitaa haiingiliki kwa gari ya Zimamoto, sasa kuna ubaya gani kuleta teknolojia mpya ya drones, kwa sababu dunia nzima inaelekea huko??

Kiongozi anakuwa mbinafsi hadi inakera, tusishangae zikanunuliwa DRONES za kusindikiza msafara wake, au za kupelekwa Chato, baada ya kumgombeza Andengenye kwa kununua za Zimamoto ambazo zingetufaidsha Watanzania wote.

Kila kitu CHATO, huduma zinazogusa jamii pana hana habari nazo...haya sasa umemfukuza Andengenye, mkataba umeuvunja?
Bro kwani mkataba ulikuwa umeshatengenezwa? Inavyosemekana walikuwa wamesaini MOU ila mkataba ilikuwa bado (nasema inasemekana sababu hata mimi sijaona) .Alafu kwa akili ndogo drone inaweza kuzima moto wa ukubwa gani? Na je kwa mazingira ya nchi kama Tz ni relevant?
Drones hata kwa nchi kama Australia na Usa ambazo mara nyingi zinakumbwa na bush fires zinatumika kupiga picha maeneo yaliyoathirika.Ila moto unazimwa na helicopter na ndege.
Kwa mawazo yangu kwa mji kama Dar ambao sehemu kubwa magari hayaingiliki siyo mbaya sana kuwa na helicopter hata mbili za kuzimia moto.
Alafu kwa nini mzabuni awalipie watu usd 800? Na awape laptop watu waliohusika kusaini MOU (kama kweli ) maana uchunguzi unaendelea.
 
Hoja ya baadhi ya watu kwamba
mshikaji alimfukuza kazi Thobias Andengenye baada ya kumwacha kwenye "mgao wa dili" yaweza kuwa na mantiki.

Vinginevyo haingii akilini Kiongozi anashindwaje kuona umuhimu wa kulifanyia mageuzi Jeshi la Zimamoto ambalo liko hoi bin taabani, lakini yeye peke yake akajinunulia mahelcopter ya gharama kwa ajili ya kujilinda??

Afande Andengenye alikusudia kulifanya Jeshi la Zimamoto kuwa RESPONSIVE enough kwenye matukio ya kuzima moto; Kwamba kwa kununua vifaa vya kisasa vya kuzima moto kama vile DRONES, basi tatizo la kuchelewa kufika kwenye ajali za moto lingekuwa limepatiwa ufumbuzi, pasingekuwa na zile lawama tena za Zimamoto kufika kwenye nyumba iliyoungua masaa mawili baada ya nyumba kuteketea kwa moto.

Basi ndugu yetu alivyo na roho mbaya hasa kwenye kazi zisizomfaidisha yeye binafsi, au kampuni zake, au masuria wake akafura kwa hasira, kwamba inakuwaje dili ya Trillion 1 imwache yeye pembeni completely?

So tunafahamu miji yetu ilivyopangiliwa vibaya, kuna mitaa haiingiliki kwa gari ya Zimamoto, sasa kuna ubaya gani kuleta teknolojia mpya ya drones, kwa sababu dunia nzima inaelekea huko??

Kiongozi anakuwa mbinafsi hadi inakera, tusishangae zikanunuliwa DRONES za kusindikiza msafara wake, au za kupelekwa Chato, baada ya kumgombeza Andengenye kwa kununua za Zimamoto ambazo zingetufaidsha Watanzania wote.

Kila kitu CHATO, huduma zinazogusa jamii pana hana habari nazo...haya sasa umemfukuza Andengenye, mkataba umeuvunja?
Ingekuwa mkataba wa ujenzi wa daraja, flyover,barabara, au ujenzi wa kivuko, angesaini bila kihoji!
 
Hoja ya baadhi ya watu kwamba
mshikaji alimfukuza kazi Thobias Andengenye baada ya kumwacha kwenye "mgao wa dili" yaweza kuwa na mantiki.

Vinginevyo haingii akilini Kiongozi anashindwaje kuona umuhimu wa kulifanyia mageuzi Jeshi la Zimamoto ambalo liko hoi bin taabani, lakini yeye peke yake akajinunulia mahelcopter ya gharama kwa ajili ya kujilinda??

Afande Andengenye alikusudia kulifanya Jeshi la Zimamoto kuwa RESPONSIVE enough kwenye matukio ya kuzima moto; Kwamba kwa kununua vifaa vya kisasa vya kuzima moto kama vile DRONES, basi tatizo la kuchelewa kufika kwenye ajali za moto lingekuwa limepatiwa ufumbuzi, pasingekuwa na zile lawama tena za Zimamoto kufika kwenye nyumba iliyoungua masaa mawili baada ya nyumba kuteketea kwa moto.

Basi ndugu yetu alivyo na roho mbaya hasa kwenye kazi zisizomfaidisha yeye binafsi, au kampuni zake, au masuria wake akafura kwa hasira, kwamba inakuwaje dili ya Trillion 1 imwache yeye pembeni completely?

So tunafahamu miji yetu ilivyopangiliwa vibaya, kuna mitaa haiingiliki kwa gari ya Zimamoto, sasa kuna ubaya gani kuleta teknolojia mpya ya drones, kwa sababu dunia nzima inaelekea huko??

Kiongozi anakuwa mbinafsi hadi inakera, tusishangae zikanunuliwa DRONES za kusindikiza msafara wake, au za kupelekwa Chato, baada ya kumgombeza Andengenye kwa kununua za Zimamoto ambazo zingetufaidsha Watanzania wote.

Kila kitu CHATO, huduma zinazogusa jamii pana hana habari nazo...haya sasa umemfukuza Andengenye, mkataba umeuvunja?
Pole sana. Hizo drones zinatumika kupiga picha siku za harusi na hazizimi moto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja ya baadhi ya watu kwamba
mshikaji alimfukuza kazi Thobias Andengenye baada ya kumwacha kwenye "mgao wa dili" yaweza kuwa na mantiki.

Vinginevyo haingii akilini Kiongozi anashindwaje kuona umuhimu wa kulifanyia mageuzi Jeshi la Zimamoto ambalo liko hoi bin taabani, lakini yeye peke yake akajinunulia mahelcopter ya gharama kwa ajili ya kujilinda??

Afande Andengenye alikusudia kulifanya Jeshi la Zimamoto kuwa RESPONSIVE enough kwenye matukio ya kuzima moto; Kwamba kwa kununua vifaa vya kisasa vya kuzima moto kama vile DRONES, basi tatizo la kuchelewa kufika kwenye ajali za moto lingekuwa limepatiwa ufumbuzi, pasingekuwa na zile lawama tena za Zimamoto kufika kwenye nyumba iliyoungua masaa mawili baada ya nyumba kuteketea kwa moto.

Basi ndugu yetu alivyo na roho mbaya hasa kwenye kazi zisizomfaidisha yeye binafsi, au kampuni zake, au masuria wake akafura kwa hasira, kwamba inakuwaje dili ya Trillion 1 imwache yeye pembeni completely?

So tunafahamu miji yetu ilivyopangiliwa vibaya, kuna mitaa haiingiliki kwa gari ya Zimamoto, sasa kuna ubaya gani kuleta teknolojia mpya ya drones, kwa sababu dunia nzima inaelekea huko??

Kiongozi anakuwa mbinafsi hadi inakera, tusishangae zikanunuliwa DRONES za kusindikiza msafara wake, au za kupelekwa Chato, baada ya kumgombeza Andengenye kwa kununua za Zimamoto ambazo zingetufaidsha Watanzania wote.

Kila kitu CHATO, huduma zinazogusa jamii pana hana habari nazo...haya sasa umemfukuza Andengenye, mkataba umeuvunja?
ivi umeelewa sababu alizotoa Rais au unakurupuka tu. Rais alishangazwa kufanyiwa makubaliano kitu ambacho bado hakijajadiliwa, yy hataki mikataba feki tena ina maana waliweka maslahi mbele hadi wakajisahau taratibu za nchi zinasemaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom