Kuna jamaa ni dereva wa gari la kusambaza mikate anaishi hapa mtaani yani anaiba mikate anapeleka dukani kwa malipo ya double kick, yan amekonda kama mzuka nusura atafanana panyaHiki kinywaji ukiwa na 2,000 TZS unazima mazima. Vijana mtaani wanazoa kinywaji hiki kwa kushindana.
Dahmen downKuna jamaa ni dereva wa gari la kusambaza mikate anaisha hapa mtaani yani anaiba mikate anapeleka dukani kwa malipo ya double kick, yan amekonda kama mzuka nusura atafanana panya
Utakuwa huijui MASTER weweHiki kinywaji ukiwa na 2,000 TZS unazima mazima. Vijana mtaani wanazoa kinywaji hiki kwa kushindana.
Huyo atakuwa ni mlaji mzuri wa mikate/sponji(maana bado sijaona mikate halisi zaidi ya masponji tu yaliyo wekewa amira na ngano) kisha anasukumiza ma kilevi kikali lazima akondeKuna jamaa ni dereva wa gari la kusambaza mikate anaishi hapa mtaani yani anaiba mikate anapeleka dukani kwa malipo ya double kick, yan amekonda kama mzuka nusura atafanana panya
Ushamwaribia kazi huyo jamaa kwa mabosi zake mana wapo humuKuna jamaa ni dereva wa gari la kusambaza mikate anaishi hapa mtaani yani anaiba mikate anapeleka dukani kwa malipo ya double kick, yan amekonda kama mzuka nusura atafanana panya
Hebu weka picha yake, au weka hata picha ya gari analoendeshaKuna jamaa ni dereva wa gari la kusambaza mikate anaishi hapa mtaani yani anaiba mikate anapeleka dukani kwa malipo ya double kick, yan amekonda kama mzuka nusura atafanana panya
Kimoja tu humalizi. Lazima unnyeDouble kick a.k.a portable cane spirit ukimaliza vile vichupa viwili alafu utembee juani lazima damu zitoke puani.
Watajuaje kuwa ni yeye sijataja jina la mtaa, wilaya wala mkoaUshamwaribia kazi huyo jamaa kwa mabosi zake mana wapo humu
Sina mkuu mimi si mtu wa mapicha pichaHebu weka picha yake
Dukani kwa Mangi wanauza kwa kijiko (table spoon) = 200/= TZSHiki kinywaji ukiwa na 2,000 TZS unazima mazima. Vijana mtaani wanazoa kinywaji hiki kwa kushindana.
... shida bei! Kipigwe kodi 5000% kikiuzwa elfu 70 madhara yake yatakwisha.Hiki kinywaji sijui wanaweka nn?