Kinywaji "Double Kick" kinamaliza vijana

Kuleni vizuri kama nyama choma,supu mzito asubuhi..ndio mnywe hiyo kitu...mtu unashindia miogo ndio waitafuta double kick..!lazima...kick!
Hiyo hata ukila vizuri hutoboi!!kinywaji gani cha bei nafuu ambacho ukinywa chupa 3, nadhani ni za 200mls, unakufa!!
Kwa hali ilipofikia kwa sasa ni lazima kiwanda hicho waangalie upya utengenezaji wake, na kisha wakibadirishe jina kabisa!!kwa sasa mtaani kinaogopwa sana, wamehamia kwenye smart gin.
Hicho wewe kula kiti moto kilo 2,na supu ya kongoro/mkia mzima juu, ukimaliza vi 3, baba jeni bai bai!!
 
Hiyo hata ukila vizuri hutoboi!!kinywaji gani cha bei nafuu ambacho ukinywa chupa 3, nadhani ni za 30mls, unakufa!!
Kwa hali ilipofikia kwa sasa ni lazima kiwanda hicho waangalie upya utengenezaji wake, na kisha wakibadirishe jina kabisa!!kwa sasa mtaani kinaogopwa sana, wamehamia kwenye smart gin.
Hicho wewe kula kiti moto kilo 2,na supu ya kongoro/mkia mzima juu, ukimaliza vi 3, baba jeni bai bai!!
Asante mkuu kwa kunielewesha..lakini nitakitafuta nijaribu.sikijui ata kikoje.
 
Kuna vilevi vina % kubwa zaidi ya hiki?
Screenshot_20220308-214406.png
 
Hiyo hata ukila vizuri hutoboi!!kinywaji gani cha bei nafuu ambacho ukinywa chupa 3, nadhani ni za 200mls, unakufa!!
Kwa hali ilipofikia kwa sasa ni lazima kiwanda hicho waangalie upya utengenezaji wake, na kisha wakibadirishe jina kabisa!!kwa sasa mtaani kinaogopwa sana, wamehamia kwenye smart gin.
Hicho wewe kula kiti moto kilo 2,na supu ya kongoro/mkia mzima juu, ukimaliza vi 3, baba jeni bai bai!!
Eti Baba Jeni Bye bye! Imenikumbusha mbali sana
 
Back
Top Bottom