FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,811
- 46,936
Eti mnywaji mzuri, hivi faida hasa ya kunywa hayo masumu ni nini? Mbona hamjionei huruma lakini?Ni mnywaji mzuri wa hivi vinywaji.... Azam energy... Dragon...
Ila hiki Mo energy ndio kimeniletea hizi strange feeling
Sasa mbona sampuli haitoshi? Unapaswa utumie mara kadhaa ndiyo walau uanze kutia shaka. Sasa mara moja huenda ulikuwa na shida zingine.
Pia, ni vema kama una hakika na hilo ukawaandikia wazalishaji ukiwakopi na TBS. Utamaduni huu haupo sana kwetu, wenzetu huko mbele wapo sharp,saa hii unakuta ni taarifa ishatrend CNN,BBC,ABC n.k.Sema ni vema ukawa na assumptions zinazoweza kuthibitishwa kitaalamu kuwa ni kweli ama si kweli.
Nina hakika hata MO hatumii hiki kinywaji
EPUKA ENERGY DRINK ZOTE ! Hizo zinaitwa energy drink lakini kiuhalisia zina kemikali ambazo zinafanya moyo udunde haraka zaidi uwe kama mtu anayefanya mazoezi makali. Kama una tatizo la moyo au sukari au tatizo lingine la mwilini usinywe kabisa energy drink yoyote kuanzia red bull n.k.
.Nilikunywa ghafla nikaanza kujisikia vibaya mnooo ....naona giza.... mapigo ya moyo yanaenda kasi si kawaida....kwenda hosp nikaambiwa nisirudie kunywa hicho kinywaji maana huwa na tatizo la presha ya kupanda kwa hiyo ni hatari sana kwangu.
Mimi mwenyewe nashangaaga yana nini haya mavinywaji...hayana tofauti na pombe...hivi mnapokunywa hayo madudu mnapata nini ?
uliponea chupu chupu hahahNina miaka 7 sinywi energy drink yoyote na hii nimeamua toka Redbul ilipotaka kunichukua uhai wangu.
Haya ma -energy drink si mazuri hata kidogo.
Mtoa mada utakua na Dalili za Ugonjwa wa moyo....
Pressure ya kupanda na Caffeine ni tofauti.....angalau Caffeine inawafaa watu wenye pressure ya kushuka hata kama hawajijui....
Mm nakunywa Asubuhi moja, usiku moja hasa nikiwa na game, na hakuna Shida yoyote...
uliponea chupu chupu hahah
Watu wengi watakufa baadae kwa heart attack...nyie endeleeni kutengeneza maradhi miilini menu...Nina miaka 7 sinywi energy drink yoyote na hii nimeamua toka Redbul ilipotaka kunichukua uhai wangu.
Haya ma -energy drink si mazuri hata kidogo.
Pole sana, mm nljskia vbaya sanaa.. Mapigo ya moyo juu.
Sasa jamani...majani ya chai hayana caffein kweli...vipi kuhusu kahawa je?Msisitizo hapo ni kuavoid vinywaji vyenye caffeine,kikawaida sio vizuri kwa afya ya watumiaji,hata kama huna tatizo la kiafya lakini jua kuwa mwisho wa siku vitakuletea shida...
kwenye birthday yako ndani ya box nakuekea mo energy 3,red bull 4,mo fire 7Halafu nilikua nakunywa kwa masifa yaani yale ya kidada, nakunywa hata 2 siku hiyo yakanikomesha ha ha ha ba
Hii waislaam tunaitwa UNAJIDHULUMU NAFSI YAKO MWENYEWE...Kuna wapumbavu huwa wanachanganya k vant au konyagi na hizi energy drink, maisha yao huwa ni mafupi mno...