Kinywaji cha Mo Extra: Ni mimi tu au na wengine...?

Vipi grand malt ina caffeine nayo?
Sina uhakika mkuu,cha muhimu ni kuwa kila unaponunua hivi vinywaji ni vizuri ukasoma Nutrition facts ili ujue ni kinywaji gani kinakufaa,mfano mimi kuna kipindi nilitumia sana kahawa ikaniletea shida ya hypertension,toka wakati huo ninaiogopa na nina miaka zaidi ya miaka15 sijawahi tumia kinywaji chenye caffeine...
 


Mkuu hii taarifa inaweza trend vipi wakati mwenye shida ni yeye peke yake?

Haya madude sio mazuri kiafya ila watu wanalazimishia tu.
 
Sijawahi kunywa kinywaji chochote cha energy labda fundo moja tu kwanza harufu yake tu kichwa kinauma
 
ukinywa hiyo kitu ukashushia na kitu cha arusha unaweza kulima heka mbili kwa jembe la mkono kwa siku moja
 
Kaka acha hio kitu Mimi nimeshagundua ni sumu hatari sijui TBS wameipitishaje.... Mimi imetaka kunia kama ilivyokufanya we we Mara mbili nikagundua chanzo no hio. Mamlaka husika itusaidie
 
Mkuu mimi hutumia hizi energy kama kawaida ila sikuwahi kutumia mo energy, ndio mara ya kwanza jana

Hutumia red bull... Azam... Na draon
Jaribu tena ili uwe na uhakika kama ndicho kilicho kusababishia hali hiyo au ni vumbi la Kongo.
Usinywe vinywaji hivyo kama haujafanya kazi ngumu.
 
Mo extra sio energy drink. Soma ingredients ....berry flavored carbonated soft drink.... Amewapata watu baada ya kuanza na enegy drink watu hawastuka sasa hivi ni flavor tuu anauza ndio maana amebadilisha jina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…