Kinywaji cha Mo Extra: Ni mimi tu au na wengine...?

Kinywaji cha Mo Extra: Ni mimi tu au na wengine...?

Mpauko

R.I.P
Joined
Jan 19, 2019
Posts
2,323
Reaction score
3,451
Habari waungwana, jana nilinunua kinywaji cha MO EXTRA nikanywa.. Baada ya muda fulan nikaanza kujisikia tofauti...

Maumivu kiasi upande wa moyo kisha yakapotea...

Maumivu ya abnomial hasa upande wa kulia kupanda juu hado katikati ya kiuno na ubavu wa mwisho.... Usawa wa figo

Uvivu katika kufikiri ilhali najisikia uchangamfu kiasi....

Kuna aliyewahi kujisikia hali hii baada ya kutumia hiki kinywaji?

Wajuvi wa afya mna maoni gani juu ya kilichonisibu?..
Screenshot_2019-07-04-00-36-10.jpeg
 
Habari waungwana, jana nilinunua kinywaji cha MO EXTRA nikanywa.. Baada ya muda fulan nikaanza kujisikia tofauti...

Maumivu kiasi upande wa moyo kisha yakapotea...

Maumivu ya abnomial hasa upande wa kulia kupanda juu hado katikati ya kiuno na ubavu wa mwisho.... Usawa wa figo

Uvivu katika kufikiri ilhali najisikia uchangamfu kiasi....

Kuna aliyewahi kujisikia hali hii baada ya kutumia hiki kinywaji?

Wajuvi wa afya mna maoni gani juu ya kilichonisibu?.. View attachment 1145914
Kama mwili wako hauvumilii Cafeine ni bora uache kunywa tu kuna watu wameshapatwa na heart attack wakinywa hivi vinywaji.
 
Ni mnywaji mzuri wa hivi vinywaji.... Azam energy... Dragon...

Ila hiki Mo energy ndio kimeniletea hizi strange feeling
Kama mwili wako hauvumilii Cafeine ni bora uache kunywa tu kuna watu wameshapatwa na heart attack wakinywa hivi vinywaji.
 
Kama mwili wako hauvumilii Cafeine ni bora uache kunywa tu kuna watu wameshapatwa na heart attack wakinywa hivi vinywaji.
Sana na kushauri upuka hivi vinywaji ni hatari sana maana watu afya zetu zinatofautiana. na sio Mo energy vyote venye Cafeine juu ni hatari sana nilishawahi kujaribu kweli unapata energy lakini mapigo ya moyo yanaongezeka.
 
Sasa mbona sampuli haitoshi? Unapaswa utumie mara kadhaa ndiyo walau uanze kutia shaka. Sasa mara moja huenda ulikuwa na shida zingine.

Pia, ni vema kama una hakika na hilo ukawaandikia wazalishaji ukiwakopi na TBS. Utamaduni huu haupo sana kwetu, wenzetu huko mbele wapo sharp,saa hii unakuta ni taarifa ishatrend CNN,BBC,ABC n.k.Sema ni vema ukawa na assumptions zinazoweza kuthibitishwa kitaalamu kuwa ni kweli ama si kweli.
 
Back
Top Bottom