Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Ngomuo, zaweiuna.
Nambo meubujii rizuvi?
Amitumeni aasam liwima bujiku
Ngomuo, zaweiuna.
Nambo meubujii rizuvi?
Amitumeni aasam liwima bujiku
nambo umeizawe? Au we umeakandi nn?
Kama si maHUGE maGREAT!
Jekachomeni....aasam liwima kandiana.
Kinyumenyume?,
Unaikumbuka hii?
ME-Meza ya babu BU-Bubu hasemi MI-Mimi na wewe WE-We wembe wa kucha CHA-Chakula kitamu MU-Mungu mkubwa BWA-Bwawa la samaki KI-Kingi Majuto TO-Tone la maji JI-Jitu la kale LE-Lenye midevu VU-Vu....
Oopss..!!! Nimechoka hebu malizia menyeewe!
Uzi huu unaweza kufika page ya 50!!!!!
Wana jf kuna wa2 wanalala mika sana wa2 wakiandika maneno wameyafupisha au hayajanyooka vizuri, kuchapia, kuandika kinyumenyume nk, ukumbi wao huu hapa,
nikianza na ww poha nina ciiju, humboja? Xaxa 2onena piwa? (Madame B)
Ushabadirisha Jina?
Bwakuma!!
Ngoja niende zangu siasani maana hapa kama hutaangalia vizuri, unaweza ukavunjika vidole bure.
The unseen is illustrated by the seen.