Kino clan ndo penyewe, tatizo siku hizi kote kumejaa wakuja (wapangaji) sio wazawa, so sinza na kino hakuna tofauti na tandahimba,, but enzi hizo watoto wa town wapo nyumbani ilikuwa ni balaa kwa madili, mda wote watu wanasaka mshiko,, wengi wamehamishiwa tabata as house zao zimepangishwa sinza na kinondoni