Oly in Tanzania
Waislam wanapigania haki yao
kisa mtoto kakojolea kuruani au lipo jingine
pendekeza wafanye nini cha ziada usilalamike tu!bwashee!only under kikwete govt
Ninavyoandika Mabomu yanasikika kutoka msikiti wa Mtambani Kinondoni. Barabara ya Kawawa kupitia kinondoni Imefungwa kwa Muda Vijana wa Kamanda Kova wanarusha mabomu huku wengine wako juu wanazunguka. Taharuki ni kubwa hasa kwa wanonunua na kuuza sokoni na wagonjwa kwa Dr Mvungi!! TUTAFIKA ?