Hakeem makamba
Senior Member
- Apr 15, 2011
- 123
- 41
Ndugu wana jamvi.
Toka nimezaliwa huyu babu aitwaye Kingunge Ngombale Mwiru amekuwa kwenye nafasi kubwa sana za uongozi wa nchi yetu.Jambo ambalo linanichochea kuamini kuwa amekuwa akiaminiwa na watala wa awamu zote nne. Lakini mimi kama mtanzania wa kawaida sijawahi kuona "any significance" kwenye uwepo wake. I stand to be schooled, ni nini hasa mchango wa Mzee Kingunge? Huyu ni mtu wa aina na msimamo gani?
Ni kweli kuwa ana role kubwa kiasi hicho ambayo nchi haina mbadala kwa zaidi ya nusu karne?
Nawakilisha.
Toka nimezaliwa huyu babu aitwaye Kingunge Ngombale Mwiru amekuwa kwenye nafasi kubwa sana za uongozi wa nchi yetu.Jambo ambalo linanichochea kuamini kuwa amekuwa akiaminiwa na watala wa awamu zote nne. Lakini mimi kama mtanzania wa kawaida sijawahi kuona "any significance" kwenye uwepo wake. I stand to be schooled, ni nini hasa mchango wa Mzee Kingunge? Huyu ni mtu wa aina na msimamo gani?
Ni kweli kuwa ana role kubwa kiasi hicho ambayo nchi haina mbadala kwa zaidi ya nusu karne?
Nawakilisha.