usiniguse
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 1,725
- 1,194
Hapo ndipo CCM inapotuzidi Akiri,huyu mzee si mganga asilani ,ila ni mbinu ya ccm kuingiza watu wao kwenye BUNGE LA KATIKA kupitia kila nafasi inayojitokeza
HUYU MZEE KWANZA MCHAWI NA NDO MAANA AMEENDA BUNGE LA KATIBA KUPITIA WAGANGA WA KIENYEJI.SASA SIJUI WALILENGA AENDE KULOGA BAADHI YA MAMBO WATU WAWE WANASEMA ndiyoooo,kama walivyozoea magamba.