mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,950
- 132,287
Acha kuandika utumbo binti weyeejamani haka kazee mkasamehe ccm wamekaleaaa mwishowe kakaanza kuleta furugu uvccm walipomtolea nje kakachukia hana pa kushika ccm wache kafate hela kwa fisadi
Acha kuandika utumbo binti weyeejamani haka kazee mkasamehe ccm wamekaleaaa mwishowe kakaanza kuleta furugu uvccm walipomtolea nje kakachukia hana pa kushika ccm wache kafate hela kwa fisadi
Acha kuandika utumbo binti weyee
Ndugu wana jamvi.
Toka nimezaliwa huyu babu aitwaye Kingunge Ngombale Mwiru amekuwa kwenye nafasi kubwa sana za uongozi wa nchi yetu.Jambo ambalo linanichochea kuamini kuwa amekuwa akiaminiwa na watala wa awamu zote nne. Lakini mimi kama mtanzania wa kawaida sijawahi kuona "any significance" kwenye uwepo wake. I stand to be schooled, ni nini hasa mchango wa Mzee Kingunge? Huyu ni mtu wa aina na msimamo gani?
Ni kweli kuwa ana role kubwa kiasi hicho ambayo nchi haina mbadala kwa zaidi ya nusu karne?
Nawakilisha.
Kuna vijana wa bavicha kwa sasa wanakana maneno yao katika thread kama hii baada ya Mzee Kingunge kuingia kwenye kikundi cha UKAWA.
Unafiki na upumbavu wa aina hii utaliangamiza taifa.