MsakaGamba
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 392
- 141
chaku mshangaa kikwete nikutuwekea watu kama awa kwenye mjadala wa katiba mpya iweje kijana wa miaka 25 kusemewa na mtu ambae ana uakika wakuiona kesho
Baba wa Muuza sembe mkubwa anayeishi RSA kwa sasa!
Babake na bepari Kinje, huyu mtoto anamapesa kama Ritz mkwele
kile kitu kinachofungwa kwa kitambaa cheusi unaambiwa ufunge kiunoni kinaitwaje?
Huyo Mzee ni mmoja katika waliosaidia kuiingiza nchi hii kwenye lindi la umaskini.
Kwa sasa kajilimbikizia mali nyingi sana, yeye na nwanae aliyezaa na Mdosi almaaruf Kinje.
Kuna kila uwezekano ni mchawi mzuri sana aliyeweza kuwatia viongozi wote mfukoni na hakuna aliyeweza kumkatalia chochote au lolote alisemalo.
Enzi za mwalimu alkuwa wa kawaida sana, wanamtandao alimweka awe mshauri wa siasa wa mkapa ili aandae mazingira ya kikwete kwenda ikulu, hapo ilibidi Hance Kitine apigwe zengwe atoke kuwa waziri wa nhi ofisi ya raisi utawala bora ili ikulu iweze kuingilika, as former TISS DG alkuwa na msimamo kuhusu utaatifu wa ikulu, kazi hii ilifanywa kustadi na membe, Kila mwanamtandao alkuwa na jukumu la kufanya,
Kuna siku unahoja nzuri wewe!!!Huyo Mzee ni mmoja katika waliosaidia kuiingiza nchi hii kwenye lindi la umaskini.
Kwa sasa kajilimbikizia mali nyingi sana, yeye na nwanae aliyezaa na Mdosi almaaruf Kinje.
Kuna kila uwezekano ni mchawi mzuri sana aliyeweza kuwatia viongozi wote mfukoni na hakuna aliyeweza kumkatalia chochote au lolote alisemalo.