Kingunge Ngombale Mwiru

Kingunge Ngombale Mwiru

Huyu ndiye mchawi wa Chama na ameingia kwa sasa si kwa ukongwe wake kisiasa bali kuwakilisha kundi la wanganga wa kienyeji!!! Shame on you CCM!!! KWa hiyo yuko pale kupindisha akili za wachache ambao hawataweza kupambana na yale majini yake ili waunge mkono serikali mbili.Kwani umeshaona amechangia chochote tangu limeanza? Kama alichangia sikusikia wakuu, yuko kimya tu akinukuu mambo ambayo usiku atayafanyia tunguli. Wakati mwingine mnamuona pale amekaa kumbe ni kivuli yeye yuko bizy kuwasha vibatari mchana kupeperusha akili za watu kuhusu katiba ya CCM!!

Hata iwe vipi? CCM Tayari wanayo katiba yao mfukoni na wanachofanya ni kupoteza muda, hivi wao ndo wenye maamuzi ya kuamua zaidi ya wananchi? Nimefuatilia kwa kina wao suala la ukweli wao CCM Ni kupindisha uongo kuwa ukweli, hebu ona walivyojipanga kila kamati na je kulikuwa na haja gani wakati wao kujadili ili hali wanafuata msimamo wa chama chao badala ya mawazo ya wananchi, mi naona hapo ni kiini macho tu katiba ilishaandaliwa na CCM na kinachofanyika ni kutuhadaa tu. MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRIKA
 
Hata iwe vipi? CCM Tayari wanayo katiba yao mfukoni na wanachofanya ni kupoteza muda, hivi wao ndo wenye maamuzi ya kuamua zaidi ya wananchi? Nimefuatilia kwa kina wao suala la ukweli wao CCM Ni kupindisha uongo kuwa ukweli, hebu ona walivyojipanga kila kamati na je kulikuwa na haja gani wakati wao kujadili ili hali wanafuata msimamo wa chama chao badala ya mawazo ya wananchi, mi naona hapo ni kiini macho tu katiba ilishaandaliwa na CCM na kinachofanyika ni kutuhadaa tu. MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRIKA

Ndiyo maana mkuu Ctr nimeacha kabisa kuangalia hili bunge, nikirudi hata nyumbani jioni niko busy na CNN na BBC tu. Wa p u u zi sana hawa. Huwezi kulazimisha yasiyolazimishika, Watatuletea shida sana miaka ijayo tunapoelekea uzeeni vita itaibuka hapa sisi wazee ndiyo tutaumia. Watoto wetu na wajukuu watateseka kwa jambo la wazi linaloonekana. SSM mmepoteza dira ya watanzania.
 
Huyu ndiye mchawi wa Chama na ameingia kwa sasa si kwa ukongwe wake kisiasa bali kuwakilisha kundi la wanganga wa kienyeji!!! Shame on you CCM!!! KWa hiyo yuko pale kupindisha akili za wachache ambao hawataweza kupambana na yale majini yake ili waunge mkono serikali mbili.Kwani umeshaona amechangia chochote tangu limeanza? Kama alichangia sikusikia wakuu, yuko kimya tu akinukuu mambo ambayo usiku atayafanyia tunguli. Wakati mwingine mnamuona pale amekaa kumbe ni kivuli yeye yuko bizy kuwasha vibatari mchana kupeperusha akili za watu kuhusu katiba ya CCM!!

Mtamueleza babu mtamjua kama mganga au mchawi lakini tumemtuma ahakikishe anarudi na Serikali 2 majuzi kamjaribu kidogo tu bwana mdogo Nasari akatoka nje ya msimamo akaulizwa Siri wazi? Akakakurupuka tupige ya wazi baadae akasema ah! Yasiri ile ndio babu alikua anajaribu mambo yake sasa subirinii siku ya kupigia kura mtamsikia Mabosi wenu Mbowe na Lipumba wanavyosema 2 kwa vile tatu zitatubana ndipo utajua babu ni kamati ya Ufundi na anatisha
 
Huyu toka nimjue hajawahi kuwa na mchango wowote zaidi ya kung'atang'ata meno.

KINGUNGE ni mweupe kichwani,hana mchango wowote na ndio wachawi wakuu wa ccm.

Ameingia BK kama mganga wa asili.
 
Ndio Mganga (read MCHAWI) wa CCM, ameingia kwenye CA kama mwakilishi wa waganga wa kienyeji (wachawi). Karne ya 21 bado CCM inaamini katika UCHAWI badala ya SAYANSI!

Jamani hii ni kweli au JOKE?
 
Kusema kweli hata mimi toka nimezaliwa miaka ya 1970's namsikia mpaka leo. Lakini mtu akiniuliza "huyu mzee mchango wake mkubwa ni nini ktk nchi hii?", jibu sahihi sina, labda nitakwambia ni KADA mkubwa au mkereketwa mkubwa wa CCM. Zaidi sijui
 
Umesahau kitu hapo, yeye ndio ali-draft azimio la zanzibar

Kuna wakati alifananishwa na Mao wa China! Huyu mzee alikuwa mkufunzi mzuri sana wa siasa ya ujamaa na kujitegemea...amefanya mambo makubwa sana kutengeneza na hatimae kunadi sera ya ujamaa na kujitegemea! Kingunge Ngombale Mwiru alikuwa mmoja wapo wa vinara wa kuasisiwa kwa azimio la Arusha! Huyu Mzee alikuwa Mjamaa kweli kweli pengine kuliko hata Mwalimu maana yeye hakuwa na upogo wa dini yoyote ile!!! Mara baada ya kuja kwa Azimio la Zanzibar, Wataalam walitaka ushawishi wa Kingunge kuelekea kwenye Uchumi holela! wengi walimuona kama kimbilio kutokana na kutokufungamana na upande wowote ! ... Baada ya Kifo cha Mwalimu na yeye ku realize kuwa dunia imebadilika alikubali Mwanae awezeshwe kujilimbikizia mali na hatimae sasa ni mmoja wapo wa Mabepari wa nchi hii... Hii ndiyo risila fupi ya mzee wetu alieko katika dk zake za kumalizia ngwe kabla ya kwenda kuzichapa kavukavu na Julius huko Akhera Madukani ....
 
huyu ndie mwana ccm asiyeishi kinafiki ndani ya chama chetu cha mapinduzi, huyu ndie pekee aliyejua kuwa 2015 tanzania hatutakuwa na katiba mbadala ya ile ya 1977, akajitokeza hadharani na kumpinga mwenyekiti wetu mh.kikwete alipoiridhia agenda ya katiba mpya, alibainisha kuwa 2010 election hatukuahidi watz katiba mpya hivyo ni makosa kwa m/kiti wa ccm taifa kukiuka ilani ya uchaguzi iliyomuweka madarakani....leo yuko ndani ya bunge la katiba akisimamia anachoamini....hiyo yatosha kumuelewa kingunge ni nani.?...tunachofanya dodoma kingeliweza kufanywa na bunge la muungano ......ila kwa sababu watu mnataka kuonekana ni wajenga wacha tufanye hivyo
 
Kuna wakati alifananishwa na Mao wa China! Huyu mzee alikuwa mkufunzi mzuri sana wa siasa ya ujamaa na kujitegemea...amefanya mambo makubwa sana kutengeneza na hatimae kunadi sera ya ujamaa na kujitegemea! Kingunge Ngombale Mwiru alikuwa mmoja wapo wa vinara wa kuasisiwa kwa azimio la Arusha! Huyu Mzee alikuwa Mjamaa kweli kweli pengine kuliko hata Mwalimu maana yeye hakuwa na upogo wa dini yoyote ile!!! Mara baada ya kuja kwa Azimio la Zanzibar, Wataalam walitaka ushawishi wa Kingunge kuelekea kwenye Uchumi holela! wengi walimuona kama kimbilio kutokana na kutokufungamana na upande wowote ! ... Baada ya Kifo cha Mwalimu na yeye ku realize kuwa dunia imebadilika alikubali Mwanae awezeshwe kujilimbikizia mali na hatimae sasa ni mmoja wapo wa Mabepari wa nchi hii... Hii ndiyo risila fupi ya mzee wetu alieko katika dk zake za kumalizia ngwe kabla ya kwenda kuzichapa kavukavu na Julius huko Akhera Madukani ....

Pia umesau huyu ni mzimu wa chama twawala
 
Kuna wakati alifananishwa na Mao wa China! Huyu mzee alikuwa mkufunzi mzuri sana wa siasa ya ujamaa na kujitegemea...amefanya mambo makubwa sana kutengeneza na hatimae kunadi sera ya ujamaa na kujitegemea! Kingunge Ngombale Mwiru alikuwa mmoja wapo wa vinara wa kuasisiwa kwa azimio la Arusha! Huyu Mzee alikuwa Mjamaa kweli kweli pengine kuliko hata Mwalimu maana yeye hakuwa na upogo wa dini yoyote ile!!! Mara baada ya kuja kwa Azimio la Zanzibar, Wataalam walitaka ushawishi wa Kingunge kuelekea kwenye Uchumi holela! wengi walimuona kama kimbilio kutokana na kutokufungamana na upande wowote ! ... Baada ya Kifo cha Mwalimu na yeye ku realize kuwa dunia imebadilika alikubali Mwanae awezeshwe kujilimbikizia mali na hatimae sasa ni mmoja wapo wa Mabepari wa nchi hii... Hii ndiyo risila fupi ya mzee wetu alieko katika dk zake za kumalizia ngwe kabla ya kwenda kuzichapa kavukavu na Julius huko Akhera Madukani ....

Kwa hali ilivyo sasa, hata Juliasi angekuwepo leo angewaruhusu kina Makongolo wawe mapepari.
 
Mtamueleza babu mtamjua kama mganga au mchawi lakini tumemtuma ahakikishe anarudi na Serikali 2 majuzi kamjaribu kidogo tu bwana mdogo Nasari akatoka nje ya msimamo akaulizwa Siri wazi? Akakakurupuka tupige ya wazi baadae akasema ah! Yasiri ile ndio babu alikua anajaribu mambo yake sasa subirinii siku ya kupigia kura mtamsikia Mabosi wenu Mbowe na Lipumba wanavyosema 2 kwa vile tatu zitatubana ndipo utajua babu ni kamati ya Ufundi na anatisha
M P U M B A V U amesema moyoni mwake kuwa hakuna MUNGU. Ndiyo kundi la KINGUNGE.Anamwakilisha SHETANI ndani ya Bunge. ni M P U M B A V U aliyechagukiwa na M P U M B A V U.
 
kabla sijamjadili naomba mwenye kujua anitajie UMRI WAKE KWANZA ! Ninachojua ni kwamba hana dini baasi! Ila Sina uhakika kama anaabudu mizimu .
 
M P U M B A V U amesema moyoni mwake kuwa hakuna MUNGU. Ndiyo kundi la KINGUNGE.Anamwakilisha SHETANI ndani ya Bunge. ni M P U M B A V U aliyechagukiwa na M P U M B A V U.

asante kwa kututonya mkuu .
 
Back
Top Bottom