Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,204
- 99,943
Nilidhani unasema amekufa......
Huyu ndiye mchawi wa Chama na ameingia kwa sasa si kwa ukongwe wake kisiasa bali kuwakilisha kundi la wanganga wa kienyeji!!! Shame on you CCM!!! KWa hiyo yuko pale kupindisha akili za wachache ambao hawataweza kupambana na yale majini yake ili waunge mkono serikali mbili.Kwani umeshaona amechangia chochote tangu limeanza? Kama alichangia sikusikia wakuu, yuko kimya tu akinukuu mambo ambayo usiku atayafanyia tunguli. Wakati mwingine mnamuona pale amekaa kumbe ni kivuli yeye yuko bizy kuwasha vibatari mchana kupeperusha akili za watu kuhusu katiba ya CCM!!
Hata iwe vipi? CCM Tayari wanayo katiba yao mfukoni na wanachofanya ni kupoteza muda, hivi wao ndo wenye maamuzi ya kuamua zaidi ya wananchi? Nimefuatilia kwa kina wao suala la ukweli wao CCM Ni kupindisha uongo kuwa ukweli, hebu ona walivyojipanga kila kamati na je kulikuwa na haja gani wakati wao kujadili ili hali wanafuata msimamo wa chama chao badala ya mawazo ya wananchi, mi naona hapo ni kiini macho tu katiba ilishaandaliwa na CCM na kinachofanyika ni kutuhadaa tu. MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRIKA
Huyu ndiye mchawi wa Chama na ameingia kwa sasa si kwa ukongwe wake kisiasa bali kuwakilisha kundi la wanganga wa kienyeji!!! Shame on you CCM!!! KWa hiyo yuko pale kupindisha akili za wachache ambao hawataweza kupambana na yale majini yake ili waunge mkono serikali mbili.Kwani umeshaona amechangia chochote tangu limeanza? Kama alichangia sikusikia wakuu, yuko kimya tu akinukuu mambo ambayo usiku atayafanyia tunguli. Wakati mwingine mnamuona pale amekaa kumbe ni kivuli yeye yuko bizy kuwasha vibatari mchana kupeperusha akili za watu kuhusu katiba ya CCM!!
Ndio Mganga (read MCHAWI) wa CCM, ameingia kwenye CA kama mwakilishi wa waganga wa kienyeji (wachawi). Karne ya 21 bado CCM inaamini katika UCHAWI badala ya SAYANSI!
Kuna wakati alifananishwa na Mao wa China! Huyu mzee alikuwa mkufunzi mzuri sana wa siasa ya ujamaa na kujitegemea...amefanya mambo makubwa sana kutengeneza na hatimae kunadi sera ya ujamaa na kujitegemea! Kingunge Ngombale Mwiru alikuwa mmoja wapo wa vinara wa kuasisiwa kwa azimio la Arusha! Huyu Mzee alikuwa Mjamaa kweli kweli pengine kuliko hata Mwalimu maana yeye hakuwa na upogo wa dini yoyote ile!!! Mara baada ya kuja kwa Azimio la Zanzibar, Wataalam walitaka ushawishi wa Kingunge kuelekea kwenye Uchumi holela! wengi walimuona kama kimbilio kutokana na kutokufungamana na upande wowote ! ... Baada ya Kifo cha Mwalimu na yeye ku realize kuwa dunia imebadilika alikubali Mwanae awezeshwe kujilimbikizia mali na hatimae sasa ni mmoja wapo wa Mabepari wa nchi hii... Hii ndiyo risila fupi ya mzee wetu alieko katika dk zake za kumalizia ngwe kabla ya kwenda kuzichapa kavukavu na Julius huko Akhera Madukani ....
Kuna wakati alifananishwa na Mao wa China! Huyu mzee alikuwa mkufunzi mzuri sana wa siasa ya ujamaa na kujitegemea...amefanya mambo makubwa sana kutengeneza na hatimae kunadi sera ya ujamaa na kujitegemea! Kingunge Ngombale Mwiru alikuwa mmoja wapo wa vinara wa kuasisiwa kwa azimio la Arusha! Huyu Mzee alikuwa Mjamaa kweli kweli pengine kuliko hata Mwalimu maana yeye hakuwa na upogo wa dini yoyote ile!!! Mara baada ya kuja kwa Azimio la Zanzibar, Wataalam walitaka ushawishi wa Kingunge kuelekea kwenye Uchumi holela! wengi walimuona kama kimbilio kutokana na kutokufungamana na upande wowote ! ... Baada ya Kifo cha Mwalimu na yeye ku realize kuwa dunia imebadilika alikubali Mwanae awezeshwe kujilimbikizia mali na hatimae sasa ni mmoja wapo wa Mabepari wa nchi hii... Hii ndiyo risila fupi ya mzee wetu alieko katika dk zake za kumalizia ngwe kabla ya kwenda kuzichapa kavukavu na Julius huko Akhera Madukani ....
Kuna wakati alifananishwa na Mao wa China! Huyu mzee alikuwa mkufunzi mzuri sana wa siasa ya ujamaa na kujitegemea...amefanya mambo makubwa sana kutengeneza na hatimae kunadi sera ya ujamaa na kujitegemea! Kingunge Ngombale Mwiru alikuwa mmoja wapo wa vinara wa kuasisiwa kwa azimio la Arusha! Huyu Mzee alikuwa Mjamaa kweli kweli pengine kuliko hata Mwalimu maana yeye hakuwa na upogo wa dini yoyote ile!!! Mara baada ya kuja kwa Azimio la Zanzibar, Wataalam walitaka ushawishi wa Kingunge kuelekea kwenye Uchumi holela! wengi walimuona kama kimbilio kutokana na kutokufungamana na upande wowote ! ... Baada ya Kifo cha Mwalimu na yeye ku realize kuwa dunia imebadilika alikubali Mwanae awezeshwe kujilimbikizia mali na hatimae sasa ni mmoja wapo wa Mabepari wa nchi hii... Hii ndiyo risila fupi ya mzee wetu alieko katika dk zake za kumalizia ngwe kabla ya kwenda kuzichapa kavukavu na Julius huko Akhera Madukani ....
M P U M B A V U amesema moyoni mwake kuwa hakuna MUNGU. Ndiyo kundi la KINGUNGE.Anamwakilisha SHETANI ndani ya Bunge. ni M P U M B A V U aliyechagukiwa na M P U M B A V U.Mtamueleza babu mtamjua kama mganga au mchawi lakini tumemtuma ahakikishe anarudi na Serikali 2 majuzi kamjaribu kidogo tu bwana mdogo Nasari akatoka nje ya msimamo akaulizwa Siri wazi? Akakakurupuka tupige ya wazi baadae akasema ah! Yasiri ile ndio babu alikua anajaribu mambo yake sasa subirinii siku ya kupigia kura mtamsikia Mabosi wenu Mbowe na Lipumba wanavyosema 2 kwa vile tatu zitatubana ndipo utajua babu ni kamati ya Ufundi na anatisha
Nilidhani unasema amekufa......
M P U M B A V U amesema moyoni mwake kuwa hakuna MUNGU. Ndiyo kundi la KINGUNGE.Anamwakilisha SHETANI ndani ya Bunge. ni M P U M B A V U aliyechagukiwa na M P U M B A V U.