Kingunge Ngombale Mwiru

Kingunge Ngombale Mwiru

Homer

Member
Joined
May 26, 2011
Posts
99
Reaction score
22
Huyu babu si ndiye alibakizwa ikulu kuwa refa wa vingunge wa CCM? Yuko wapi mbona simsikii popote??

Majibu yote hapa JF yako kiaina tu. IGWE anasema "kafariki longtime kitambo,....namaanisha kisi_hasa hatunae tena ila kimwili na kiroho yupo. "
Lakini wengine wanasema yamemshinda haya ya dot com ndio maana kajikalia kimya. Ukweli uko wapi???
 
kafariki longtime kitambo,....namaanisha kisi_hasa hatunae tena ila kimwili na kiroho yupo.
 
Bora kaamua kukaa kimya, maana kuisemea serikali ya JEY KEY WA UKWELI inahitaji moyo.
 
kafariki longtime kitambo,....namaanisha kisi_hasa hatunae tena ila kimwili na kiroho yupo.

Huku Sprigfield mbali - sijasikia hiyo. Huchanganyi na Mzee Kawawa Simba wa Vita (RIP)?
 
Kingunge anapenda hela lazima atakuwa kundi la rostam tu
 
mzee asiye na busara aliyebaki akijifia na kukosa busara na hekima kama si mzee wa busara
 
Alikwepa umande mambo ya dot com mshikaji hayawezi, na ciku zile mgao hapati wenziwe wamemzidi kete
 
Vizee vingine bana. Kwanza yeye dini gani(si kwa ubaguzi). Kwenye mithali kuna sehemu imeandikwa hivi MPUMBAVU ANASEMA MOYONI MWAKE KUWA HAKUNA MUNGU. ndo kizee cha busara hicho?? Ndo mana hata kwenye hii mikiki yote inayoendelea kimeufyata.! KUMCHA MUNGU NI CHANZO CHA MAARIFA.
 
vibabu dizaini ile ukikikuta kwenye torture chamber utalia,vinakuwaga vikatili sana,.nikikiona huwa nasisimka,kama cannibal flani
 
Back
Top Bottom