Huyu babu si ndiye alibakizwa ikulu kuwa refa wa vingunge wa CCM? Yuko wapi mbona simsikii popote??
Majibu yote hapa JF yako kiaina tu. IGWE anasema "kafariki longtime kitambo,....namaanisha kisi_hasa hatunae tena ila kimwili na kiroho yupo. "
Lakini wengine wanasema yamemshinda haya ya dot com ndio maana kajikalia kimya. Ukweli uko wapi???
Majibu yote hapa JF yako kiaina tu. IGWE anasema "kafariki longtime kitambo,....namaanisha kisi_hasa hatunae tena ila kimwili na kiroho yupo. "
Lakini wengine wanasema yamemshinda haya ya dot com ndio maana kajikalia kimya. Ukweli uko wapi???