Kingunge, Makamba mnamuunga mkono Nyalandu na hoja binafsi?

Lazima bunge lijadiri ishu yoyote ile ya kidini au vinginevyo, isipokuwa lisijihusishe na uanzishwaji wa taasisi yoyote ya kidini, iwe mahakama ya kidini, kujiunga na kundi lolote kama taifa kwa misingi ya dini. Kama dini zinataka kuanzisha mambo yao basi ziachiwe zenyewe na bunge/serikali isijihusishe na uanzishwaji huo.

Mwisho wa yote ni kuwa kila kitu kinaenda kikatiba na unapoamuwa kuiacha kitu bila kuwemo ndani ya katiba unakaribisha machafuko. Haya Waislamu watapoanzisha chombo chao na kuamuwa kufanya watakavyo nani atakuwa muamuzi? Au kukianzishwa kanisa kama la Kibeterwe lenye msingi wa mauwaji nani atawashughulikia na vipi iwapo hayo ni maamuzi yao?
Bottom line Katiba (Bunge) ndio msingi wa utawala Bora!
 
The devil is in the details.While I fully support the spirit and conduct of "separation of church and state" I think legislating against discussion of matters of religious nature, or any nature for that matter, is at best a cavalier attempt at driving bunge towards an Orwellian orangutang ombudsmanlike organ .

While the intention may (or may not be) genuinely be driven by good faith and aimed at preserving our national unity among other things, there is no telling this is not a silencing mechanism aimed at setting a farfetching precedent that would only serve to weaken this august body.

Let us reject motions and topics after we hear the nature and contents, not blatantly and blanketly before.
 
Wewe Rwakatare, njaa yako itakumaliza. Nashangaa uliwezaje kukaa na kina maalim pamoja na chuki zako kubwa kwa waislam na uislam. Njaa mbaya kaka!
Pole huku ni kuishiwa hoja.
Nadhani kila mtu hapa ukijaribu kumhisi ni nani kuna siku utaniita Kikwete.
Bwahahahahahahahah shauri yako mkuu endelea kudhani mimi ni Lwakatare. Si mbaya ila siku nyingine usije niita Pinda au Kikwete sio?
 
Back
Top Bottom