The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,060
Mabadiliko gani yanawatuma! sema ufisadi wao ndio unawatuma sasa wanakusanyana. Bado Karamagi, Msabaha na Rostam.
Unafahamu athari za kuuongelea ufisadi kwa serikali iliyoko madarakani? Kodi yangu haiwezi kua inapotea kuhudumia takukuru, polisi mahakama wakati kuna watu tunaambiwa ni mafisadi wapo mtaani badala ya kua gerezani.
Mabadiliko tunayoyataka ni ya kuitoa ccm madarakani hilo ni la kwanza...