Kingunge kuitikisa nchi kwa Chopa

Kingunge kuitikisa nchi kwa Chopa

Wewe unaejitambua umeifanyia nini nchi yako??? Hivi huwaonei huruma wenzio ambao hawafaidi hizo dili mnazo piga???

Swali hilo muulize Lowasa, yeye angekuwa na huruma na watanzania angelitia hasara taifa kwa kufisadi fedha kibao kwenye kampuni yake ya Rich of Monduli?(Richmond)
 
Mtaelewa tu kwa nini chatu hana meno na anaogopwa.Mwaka Wa aibu huwa hautoi taarifa Bali huja pasipo muaibika kujua.Mnalo Hilo chatu lenye usongo Wa kuibugia sisie liliyoianzisha jenyewe.

Kizee hakina ishu wa hakina hofu ya Mungu, wacha kikazurure na chopa.
 
Tunahitaji watu wenye ujasiri

Tunahitaji watu wenye fikra na mitazamo huru

Tunahita watu wenye dhamira ya kweli

Tumekuwa taifa la wajinga kwa muda mrefu tusiozifaham haki zetu kikatiba na hata kushindwa kutetea maslahi ya watoto na wajukuu zetu.

Taifa la wapumbafuu wanaotetea ujinga na udhalim wa watawala kuangamiza raslimali zetu bila kuwekeza popote hata baafa ya kupata uhuru takriban 54yrs.

Tu umbumbu tu unaowezamfanya mtu kutetea ufedhuli wa viongozi wetu wa kisiasa.

Mfano rahisi wametunguwa mabilion ya ESCROW tena bila aibu kwa magunia na viroba. Taifa sasa lipogizan giza totolooo everywhere but yet kwa upumbavu people wananatetea upuuzi huu niaibu kubwa nafedheha kwetu sote.

Ni vema Kingunge amejitambuwa na hii inamuondolea madhambi yote ambayo alishiriki hapo kabla akiwa ccm kulihujum Taifa letu.

Mwenye makosa akitubu na kujuta husamehewa na Mungu ndivyo anavyo himiza.
 
Mipango inafanywa na iko mbioni kukamilika ambapo mwanasiasa mkongwe na mahiri nchini Kingunge Ngombale Mwiru atalitikisa anga la Tanzania kwa chopa. Ziara yake itaanzia kanda ya ziwa kuwaeleza watanzania jinsi Ccm ilivyoishiwa pumzi.
wazee ni hazina kubwa sana .
 
Sasa kama hicho kizee kimekaa ccm miaka 61 inamaana ndio kimeiharibu ccm kwa kulea mafisadi kiliowafuata huko chadema. Na hicho kizee nitashangaa sana kama nacho kitaungana na Sumaye kusema eti ccm haijafanya chochote kwa miaka 54 wakati kizee hicho kimekaa miaka 61!! nani wa kulaumiwa? Kizee hata kifanye nini kizee kimechelewa na wananchi wameshafanya maamuzi, LOWASA OUT......!

😀 😀 kula limao mkuu
 
Tunahitaji watu wenye ujasiri

Tunahitaji watu wenye fikra na mitazamo huru

Tunahita watu wenye dhamira ya kweli

Tumekuwa taifa la wajinga kwa muda mrefu tusiozifaham haki zetu kikatiba na hata kushindwa kutetea maslahi ya watoto na wajukuu zetu.

Taifa la wapumbafuu wanaotetea ujinga na udhalim wa watawala kuangamiza raslimali zetu bila kuwekeza popote hata baafa ya kupata uhuru takriban 54yrs.

Tu umbumbu tu unaowezamfanya mtu kutetea ufedhuli wa viongozi wetu wa kisiasa.

Mfano rahisi wametunguwa mabilion ya ESCROW tena bila aibu kwa magunia na viroba. Taifa sasa lipogizan giza totolooo everywhere but yet kwa upumbavu people wananatetea upuuzi huu niaibu kubwa nafedheha kwetu sote.

Ni vema Kingunge amejitambuwa na hii inamuondolea madhambi yote ambayo alishiriki hapo kabla akiwa ccm kulihujum Taifa letu.

Mwenye makosa akitubu na kujuta husamehewa na Mungu ndivyo anavyo himiza.

Matatizo ya umeme ni muendelezo wa kampuni hewa ya Lowasa ile Richmond. Funguka nyumbu we.
 
Chademaa iyooo ni mbinuu tyuu
Kunaa story ichoo kingungee alisimamishaa koti angani akiwaa bungeni
Amekujaa chadema kuiba kura kwa mazingaombwe 😂😁😁😁😁
 
Ukawa fuso la mchanga linaloendeshwa kwa mafuta ya kibaba, yakiisha wanabeba kidumu kukimbilia mengine.

Walimchukua slaa yakaisha, wakakimbilia prof baregu akaisha, wakakimbilia lissu kaisha, wakabeba lowasa, sasa gari limeanza misi wanaongeza kingunge ila ni kama kidumu cha lita tano vile!
 
Kizee hata kifanye nini kizee kimechelewa na wananchi wameshafanya maamuzi, LOWASA OUT......!

Ni kusema kulingana na hali kwa sasa LOWASSA yuko IN? Nijuavyo Team Lowassa/CHADEMA/UKAWA hakuna gear ya reverse. Its too late! MABADILIKO ndio mpango mzima.
 
Swali hilo muulize Lowasa, yeye angekuwa na huruma na watanzania angelitia hasara taifa kwa kufisadi fedha kibao kwenye kampuni yake ya Rich of Monduli?(Richmond)

Kwani hapa najibazana na Lowasa??? , unatakiwa kujibu hilo swali wewe niliyekuuliza. Huyo Lowasa mmekaa naye miaka mingapi na hamjamfunglia mashtaka???
 
Kwani hapa najibazana na Lowasa??? , unatakiwa kujibu hilo swali wewe niliyekuuliza. Huyo Lowasa mmekaa naye miaka mingapi na hamjamfunglia mashtaka???


rallyphrder! Umepanik yaani kwenye hii thread nzima haueleweki. Na bado magamba mtapanik sana safari hii.
 
Ni huyuhuyu mzee alieambiwa arudishe stendi ya mkoa na parking za mjini kwa kua magufuli ana kuja ....Ana maslahi zake na NGja tingatinga liingie.tumempa stahA sana Huyu mzee aliyejiita mkomunisti miaka ya 80 kumbe ni mfukuzia dinari chafu
 
Back
Top Bottom