KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,364
- 6,256
Tunahitaji watu wenye ujasiri
Tunahitaji watu wenye fikra na mitazamo huru
Tunahita watu wenye dhamira ya kweli
Tumekuwa taifa la wajinga kwa muda mrefu tusiozifaham haki zetu kikatiba na hata kushindwa kutetea maslahi ya watoto na wajukuu zetu.
Taifa la wapumbafuu wanaotetea ujinga na udhalim wa watawala kuangamiza raslimali zetu bila kuwekeza popote hata baafa ya kupata uhuru takriban 54yrs.
Tu umbumbu tu unaowezamfanya mtu kutetea ufedhuli wa viongozi wetu wa kisiasa.
Mfano rahisi wametunguwa mabilion ya ESCROW tena bila aibu kwa magunia na viroba. Taifa sasa lipogizan giza totolooo everywhere but yet kwa upumbavu people wananatetea upuuzi huu niaibu kubwa nafedheha kwetu sote.
Ni vema Kingunge amejitambuwa na hii inamuondolea madhambi yote ambayo alishiriki hapo kabla akiwa ccm kulihujum Taifa letu.
Mwenye makosa akitubu na kujuta husamehewa na Mungu ndivyo anavyo himiza.
Lofa na mpumbav ni yule anaeamini kingunge Ana ushawishi kwenye hii jamii ya sasa..yan Huyu mtu amepewa chopa ashawishi wapiga kura..----..Toroka uje naona amekuja mwenyewe.....