Si tu hakina wafuasi.Kilikuwa kinajulikana zaidi kwa viongozi wenzie wa CCM wa juu lakini sio wanachama.Hata kwao Kipatimu hawakijui wanaokijua ni wazee wachache walio sawa na umri wake.
Hata CCM walishakibwaga muda mrefu kwenye uongozi.Wakati wa mchakato kumtafuta mgombea uraisi kwa tiketi ya CCM hicho kizee hakikuwa mjumbe wa kamati kuu,halmashauri kuu wala mkutano mkuu.Ukisikia kinasema taratibu hazikufuatwa ni kwa kuambiwa na Lowassa.Chenyewe hakijui yaliyoendelea ndani ya vikao zaidi ya kuambiwa.Hakana original data.Waandishi wa habari wakabane wakaulize ulijuaje mchakato ulivyokwenda wakati wewe si mshiriki wa vikao.
Hako kazee hakana nguvu kisiasa kama kanavyojinadi kangekuwa na nguvu ya kisiasa Lowasa asingekatwa jina na CCM.Ni kazee fulani kababaishaji ka mjini.