Sawa umejitahidiWrite in english, I don't understand swahili
Kivipi?Kutumia kiingereza kwenye nchi ambayo majority wanaongea kiswahili inaonesha uwezo wako mdogo wa kupambanua mambo
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Kuandika hapa utajing'ataje ulimiUnataka nijing'ate ulimi mkuu?
Kivipi wakati secondary mitaala ni kwa kingerezaAsilimia 95 mpaka 97 wamesoma kwa mitaala iliyoandaliwa kwa kiswahili, mimi nakushangaa wewe na si wao.
Mwaga humu kimoyomoyo ndoniniMe nakiongea kwa ufasaha mbona lakini kimoyomoyo.
Hivo ndo mnavojiteteaKiiingereza.......kwani ulinilipia ada
Hapa sio mahala pake