samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,237
Au ni kwangu tu DSTV inachelewa sana kuwaka yaani inachukua dakika hadi 3 hivi na mbaya kama mpira unauwahi unakuta goli sijui nini jamani nifanyaje nirekebishe au
Ni vile vya watu wahenga tulionunua zamani. Havina connection ya HDMI. Lakini vina robo ya paka. HaviharibikiAu ni kwangu tu DSTV inachelewa sana kuwaka yaani inachukua dakika hadi 3 hivi na mbaya kama mpira unauwahi unakuta goli sijui nini jamani nifanyaje nirekebishe au
Ni vile vya watu wahenga tulionunua zamani. Havina connection ya HDMI. Lakini vina robo ya paka. Haviharibiki
Vya zamani hadi picha itoke, vinachukua muda sana.Mhh ufafanuzi mkuu
Karibu Startimes huku nikugusa tu kinawakaAu ni kwangu tu DSTV inachelewa sana kuwaka yaani inachukua dakika hadi 3 hivi na mbaya kama mpira unauwahi unakuta goli sijui nini jamani nifanyaje nirekebishe au
Nunua decoder toleo jipya havi scan mda mrefu.Au ni kwangu tu DSTV inachelewa sana kuwaka yaani inachukua dakika hadi 3 hivi na mbaya kama mpira unauwahi unakuta goli sijui nini jamani nifanyaje nirekebishe au
yan kama smartphoneAu ni kwangu tu DSTV inachelewa sana kuwaka yaani inachukua dakika hadi 3 hivi na mbaya kama mpira unauwahi unakuta goli sijui nini jamani nifanyaje nirekebishe au
usiwe na wasiwasi ni visimbuzi vyote tu vya dstv vinaload mda mrefu mimi mpaka 5 minutes. so utakiwi kukishutdown kila mara chomoa tv kiache labda 9t uktak kuslpAu ni kwangu tu DSTV inachelewa sana kuwaka yaani inachukua dakika hadi 3 hivi na mbaya kama mpira unauwahi unakuta goli sijui nini jamani nifanyaje nirekebishe au
Ndivyo ilivyo HDMI acha ushamba hd lazima ifanye hivyoAu ni kwangu tu DSTV inachelewa sana kuwaka yaani inachukua dakika hadi 3 hivi na mbaya kama mpira unauwahi unakuta goli sijui nini jamani nifanyaje nirekebishe au
Ndivyo ilivyo HDMI acha ushamba hd lazima ifanye hivyo
Sawa wakala wa kuuza madish dstv tujuze basi ikoje hiyo ,maana unajua sana HDMINdivyo ilivyo HDMI acha ushamba hd lazima ifanye hivyo