Kingamuzi cha itv

Umutimbaru

Member
Jul 22, 2011
91
5
KITUO CHA UTANGAZAJI CHA ITV, NI LINI KITAOA KINGAMUZI CHAKE? KWANI WANATANGAZA HATIMA YA ANALOG LAKINI HAWATANGAZI NILINI WATATOA KINGAMUZI CHAO.:focus:
 
hivi ina maana kila kituo cha tv kitakuwa na king'amuzi chake? yaani star tv awe na chake,itv awe na chake,tbc tayari anacho,atn naye anacho.ina maana ili uweze kupata local tv zote inabidi uwe na ving'amuzi kama kumi hivi!
 
hivi ina maana kila kituo cha tv kitakuwa na king'amuzi chake? yaani star tv awe na chake,itv awe na chake,tbc tayari anacho,atn naye anacho.ina maana ili uweze kupata local tv zote inabidi uwe na ving'amuzi kama kumi hivi!

Yaah,,KULINGANA NA TAARIFA KUTOKA TCRA,ni kwamba wao wametoa vibali kwa makampuni matatu ambayo yatajenga miundo mbinu ya kusambaza DVB-T. Yaani makampuni mengine yenye vituo vya Tv,na Radio watakuwa wanapeleka chnls zao kwa hawa jamaa ili wapate kurusha hewani kwa njia ya Digital.(T-DVB-TERRESTRIAL DIGITAL VIDEO BROADCAST:) Maana yake ni kwamba sasa tv zote za hapa Nchini zitapaswa kujiunga na ving'amuzi vyote na itakuwa ni bure kabisa. Kwa hyo ukiwa na mojawapo ya ving'amuzi hv utaweza kupata chnl za Tanzania bure,ila sasa ukitaka chnl za ziada za nje ya Tz utapaswa kulipia gharama kulingana na msambazaji wa hzo chnl anavyotaka. Na hapa ndipo unapopaswa kuwa na chaguo la king'muzi kulingana na Package ya tv chnl unazotaka-MOVIES,SPORTS,DOCUMENTARY,MUSIC, FASHION, SERIES, etc. Kwa hyo huna haja ya kujaza Decoder ndani,HATA HIVYO Mbele ya safari itakuja kuruhusu decoder moja kuweza ktmia Kadi zaidi ya moja. Hvyo kuwa kama simu,ukitaka ku2mia Voda unatoa line ya Tigo unaweka Voda,nk. Nadhani nimesaidia kiasi kukutoa wasiwasi.
 
Yaah,,KULINGANA NA TAARIFA KUTOKA TCRA,ni kwamba wao wametoa vibali kwa makampuni matatu ambayo yatajenga miundo mbinu ya kusambaza DVB-T. Yaani makampuni mengine yenye vituo vya Tv,na Radio watakuwa wanapeleka chnls zao kwa hawa jamaa ili wapate kurusha hewani kwa njia ya Digital.(T-DVB-TERRESTRIAL DIGITAL VIDEO BROADCAST:) Maana yake ni kwamba sasa tv zote za hapa Nchini zitapaswa kujiunga na ving'amuzi vyote na itakuwa ni bure kabisa. Kwa hyo ukiwa na mojawapo ya ving'amuzi hv utaweza kupata chnl za Tanzania bure,ila sasa ukitaka chnl za ziada za nje ya Tz utapaswa kulipia gharama kulingana na msambazaji wa hzo chnl anavyotaka. Na hapa ndipo unapopaswa kuwa na chaguo la king'muzi kulingana na Package ya tv chnl unazotaka-MOVIES,SPORTS,DOCUMENTARY,MUSIC, FASHION, SERIES, etc. Kwa hyo huna haja ya kujaza Decoder ndani,HATA HIVYO Mbele ya safari itakuja kuruhusu decoder moja kuweza ktmia Kadi zaidi ya moja. Hvyo kuwa kama simu,ukitaka ku2mia Voda unatoa line ya Tigo unaweka Voda,nk. Nadhani nimesaidia kiasi kukutoa wasiwasi.

Hata dekoda hizi zinaingiliana card zake kwa mujibu wa mdau wa tcra alilisema hili wakti akifanya mahojiano na ATN(TING)
 
KITUO CHA UTANGAZAJI CHA ITV, NI LINI KITAOA KINGAMUZI CHAKE? KWANI WANATANGAZA HATIMA YA ANALOG LAKINI HAWATANGAZI NILINI WATATOA KINGAMUZI CHAO.:focus:

ni mapema mno,ungeuliza hilo swali by nov au afta dec 31,
halafu ni KING'AMUZ C KINGAMUZ
 
hivi ina maana kila kituo cha tv kitakuwa na king'amuzi chake? yaani star tv awe na chake,itv awe na chake,tbc tayari anacho,atn naye anacho.ina maana ili uweze kupata local tv zote inabidi uwe na ving'amuzi kama kumi hivi!

hahahahah!
Mdau!sebule itajaa MAKOLOKOLO!
 
Yaah,,KULINGANA NA TAARIFA KUTOKA TCRA,ni kwamba wao wametoa vibali kwa makampuni matatu ambayo yatajenga miundo mbinu ya kusambaza DVB-T. Yaani makampuni mengine yenye vituo vya Tv,na Radio watakuwa wanapeleka chnls zao kwa hawa jamaa ili wapate kurusha hewani kwa njia ya Digital.(T-DVB-TERRESTRIAL DIGITAL VIDEO BROADCAST:) Maana yake ni kwamba sasa tv zote za hapa Nchini zitapaswa kujiunga na ving'amuzi vyote na itakuwa ni bure kabisa. Kwa hyo ukiwa na mojawapo ya ving'amuzi hv utaweza kupata chnl za Tanzania bure,ila sasa ukitaka chnl za ziada za nje ya Tz utapaswa kulipia gharama kulingana na msambazaji wa hzo chnl anavyotaka. Na hapa ndipo unapopaswa kuwa na chaguo la king'muzi kulingana na Package ya tv chnl unazotaka-MOVIES,SPORTS,DOCUMENTARY,MUSIC, FASHION, SERIES, etc. Kwa hyo huna haja ya kujaza Decoder ndani,HATA HIVYO Mbele ya safari itakuja kuruhusu decoder moja kuweza ktmia Kadi zaidi ya moja. Hvyo kuwa kama simu,ukitaka ku2mia Voda unatoa line ya Tigo unaweka Voda,nk. Nadhani nimesaidia kiasi kukutoa wasiwasi.

Haiwezekani decoda moja ikatumika na kadi zaidi ya moja coz hata hayo madishi yana muelekeo tofauti. Kwa mfano Zuku na dstv
 
Yaah,,KULINGANA NA TAARIFA KUTOKA TCRA,ni kwamba wao wametoa vibali kwa makampuni matatu ambayo yatajenga miundo mbinu ya kusambaza DVB-T. Yaani makampuni mengine yenye vituo vya Tv,na Radio watakuwa wanapeleka chnls zao kwa hawa jamaa ili wapate kurusha hewani kwa njia ya Digital.(T-DVB-TERRESTRIAL DIGITAL VIDEO BROADCAST:) Maana yake ni kwamba sasa tv zote za hapa Nchini zitapaswa kujiunga na ving'amuzi vyote na itakuwa ni bure kabisa. Kwa hyo ukiwa na mojawapo ya ving'amuzi hv utaweza kupata chnl za Tanzania bure,ila sasa ukitaka chnl za ziada za nje ya Tz utapaswa kulipia gharama kulingana na msambazaji wa hzo chnl anavyotaka. Na hapa ndipo unapopaswa kuwa na chaguo la king'muzi kulingana na Package ya tv chnl unazotaka-MOVIES,SPORTS,DOCUMENTARY,MUSIC, FASHION, SERIES, etc. Kwa hyo huna haja ya kujaza Decoder ndani,HATA HIVYO Mbele ya safari itakuja kuruhusu decoder moja kuweza ktmia Kadi zaidi ya moja. Hvyo kuwa kama simu,ukitaka ku2mia Voda unatoa line ya Tigo unaweka Voda,nk. Nadhani nimesaidia kiasi kukutoa wasiwasi.

Mkuu naomba ufafanuzi kidogo, mimi nafikili hapo mwanzo Serikali ndiyo ilikuwa inataka kuwa msambazaji mkuu wa Matangazo ya TVs na Radios zote Tanzania, walitangaza tender kufanikisha zoezi hilo. Mimi nilikuwa mmoja wa wa raia walio furahishwa na uhamuzi huo kwa kuwa nilijuwa kutapunguza adha ya kuwa na kingamzi zaidi ya kimoja au kingamuzi chenye multi-smart card slots and what have you.

Tatizo letu Watanzania ni ubnafsi uliyo kithili ndio maana tunabaki nyuma kimaendeleo - We fikilia Wachina wana uwezo mkubwa wa kufanikisha zoezi hilo na actually wameweza ku-multiplex channels zote za makampuni husika actually wamekwisha fanikisha kwenye station zifuatavyo : TBC1,TBC2, Channel TEN, MLIMANI, SIBUKA, na baadhi ya ZA UGANDA NA KENYA etc, swali ni: Kwanini makampuni mengine ya UTANGAZAJI hayataki kujiunga? Kwanini Serikali yetu inakuwa wobbly katika swala zima, je inawaogopa wafanya bihashara hawa!
 
Haiwezekani decoda moja ikatumika na kadi zaidi ya moja coz hata hayo madishi yana muelekeo tofauti. Kwa mfano Zuku na dstv

Hapana mkuu, TERRESTRIAL DIGITAL VIDEO BROADCAST (T-DVB) inatumia groudwaves (UHF/VHF) kusambaza matangazo, mambo ya muelekeo hauko more pronouced kama ilivyo kwenye satellite ingawa kwenye T-digital broadcast hiko sensetive kidogo katika mambo ya muelekeo. Tukija katika matangazo ya satellite - mfumo huu unatumia skywave (SHF) na ni lazima ujuwe slot ya satellite hiko wapi - east au west na elevation yake.
 
Nimekupata mkuu, kwa kuwa local tv zinapaswa kuonekana bure hata kama haujalipia, ni lini hiyo huduma itaanza maana sasa hivi usipolipia unabakiziwa na tbc pekee yake katika king'amuzi cha star times.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom