King'amuzi cha Canal +

King'amuzi cha Canal +

Mimi ningepata king'amuzi chenye ma channels ya kutosha yamovies ningekua mteja,mpira sio inshu sana kwangu.

Nna Dstv, wana channels lkn gharama zao kibongo kibongo sio rafiki,azam niliwahama zaidi ya zile mbc2 hawana channel za movie za maana.

Android tv box nikiifikiria naona gharama itakua kwny matumizi ya bando so sija save chochote,any msaada wajomba.
Chukua canal+ Mkuu wana channels nyingi za movie kwa gharama ndogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...Bein sport vipi?
nilisikia mahali kwamba inapatikana bongo
 
Yani tz sijui kwanini mipira ya ulaya tunapata sana tabu kuangalia
 
Mimi ningepata king'amuzi chenye ma channels ya kutosha yamovies ningekua mteja,mpira sio inshu sana kwangu.

Nna Dstv, wana channels lkn gharama zao kibongo kibongo sio rafiki,azam niliwahama zaidi ya zile mbc2 hawana channel za movie za maana.

Android tv box nikiifikiria naona gharama itakua kwny matumizi ya bando so sija save chochote,any msaada wajomba.
Kama mpenzi wa movie, tafuta Roku Streaming Stick+,
614RsuXQHNL.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ningepata king'amuzi chenye ma channels ya kutosha yamovies ningekua mteja,mpira sio inshu sana kwangu.

Nna Dstv, wana channels lkn gharama zao kibongo kibongo sio rafiki,azam niliwahama zaidi ya zile mbc2 hawana channel za movie za maana.

Android tv box nikiifikiria naona gharama itakua kwny matumizi ya bando so sija save chochote,any msaada wajomba.
Startimes.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom