Nataka kufunga kisimbuzi cha Canal Plus Tanzania

Nataka kufunga kisimbuzi cha Canal Plus Tanzania

Thabit Karim

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2012
Posts
404
Reaction score
830
Habari ndugu naombeni msaada wa kufunga King'amuzi cha canal plus. Niko Tanzania. Nasikia vifurushi hasa vya mpira ni bei nafuu kuliko Dstv

Naombeni taratibu za kukinunua yaani nakinunulia wapi, bei, mafundi na utaratibu wa malipo na Chanel zinazopatikana.

Niko Moshi
 
Habari ndugu naombeni msaada wa kufunga King'amuzi cha canal plus. Niko Tanzania. Nasikia vifurushi hasa vya mpira ni bei nafuu kuliko Dstv

Naombeni taratibu za kukinunua yaani nakinunulia wapi, bei, mafundi na utaratibu wa malipo na Chanel zinazopatikana.

Niko Moshi
Njoo PM ntakupa mdau wa hizi kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom