King‘amuzi cha Azam Tv

King‘amuzi cha Azam Tv

Moh04

Member
Joined
May 24, 2015
Posts
12
Reaction score
19
Naomba kujua bei ya King’amuzi cha Azam tv na dish lake used
 
Naomba kujua bei ya King’amuzi cha Azam tv na dish lake used
Kununua used sio nzuri sana hasa hivi ving'amuzi otherwise mtu anayekuuzia akufanyie umiliki toka kwake kuja kwako!
Mara nyingi huwa Tsh 100,000 lakini pia inategemea na shida ya muuzaji.
Ushauri ni heri ujitutumue ununue kipya kwa Tsh 153,5000/= bila ufundi wala kifurushi.
 
Naomba kujua bei ya King’amuzi cha Azam tv na dish lake used
Jipinde tu ununue kipya bro. Utakuwa na amani sana. Ila used kwa laki moja ama 90,000/- unapata kwa mtu, ila not guaranteed. Kama uko serious ruka PM kwangu
 
Azam walianza vizuri sana ila sasa nataka nikigawe king'amuzi chao,yaani channels kibao wamezitoa ,hakuna Nigeria movie AMC /Star etc zote wameondoa ,Fox hakuna , Fine living,E! Ent wameondoa yaani full utopolo.
 
Azam walianza vizuri sana ila sasa nataka nikigawe king'amuzi chao,yaani channels kibao wamezitoa ,hakuna Nigeria movie AMC /Star etc zote wameondoa ,Fox hakuna , Fine living,E! Ent wameondoa yaani full utopolo.
Kama unakiuza nicheki
 
Azam walianza vizuri sana ila sasa nataka nikigawe king'amuzi chao,yaani channels kibao wamezitoa ,hakuna Nigeria movie AMC /Star etc zote wameondoa ,Fox hakuna , Fine living,E! Ent wameondoa yaani full utopolo.
Kuna 115,000 hapa fasta njoo tumalize kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom