King'amuzi cha Azam kinanisumbua

King'amuzi cha Azam kinanisumbua

Hajto

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2013
Posts
5,652
Reaction score
5,624
Habari zenu jamani,nina king'amuzi cha Azam,Upande wa picha kuna muda inaonyesha na kuna muda picha inakata,na picha picha inapokata kuonyesha inaleta maneno haya,Smartcard is not Correctly,je nifanyaje kuliondoa hilo tatizo
 
Habari zenu jamani,nina king'amuzi cha Azam,Upande wa picha kuna muda inaonyesha na kuna muda picha inakata,na picha picha inapokata kuonyesha inaleta maneno haya,Smartcard is not Correctly,je nifanyaje kuliondoa hilo tatizo

Wapigie simu.
 
Wapigie simu.
Nimejaribu kukipeleka ofisini kwao pale Tazara kikakaa siku tatu naenda kukichukua lakini tatizo bado lipo palepale,Namba zao nikipiga wananiambia nichomoe kadi na kuirudishia lakini naona bado inaleta picha na kukata
 
Nimejaribu kukipeleka ofisini kwao pale Tazara kikakaa siku tatu naenda kukichukua lakini tatizo bado lipo palepale,Namba zao nikipiga wananiambia nichomoe kadi na kuirudishia lakini naona bado inaleta picha na kukata

Ndo huwa vinaanza hivyo kuharibika na pengine warrant imeisha ndio maana wamekurudishia hicho na hawajakueleza ukweli kuwa hakitengenezeki.
 
kuna mahali pameandikwa Reset Factory na hakikisha Dish limekaa sawa
fuata maelekezo ya kwenye simu yao
hebu jaribu hapo Mkuu
 
Back
Top Bottom